Fahamu Spoti

Fahamu Spoti

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Fahamu Spoti, Sports, Dar es Salaam.

15/08/2025
17/08/2023

ANATAKA BALLON d'Or huyu MWAMBA

Kupanga ni machaguzi yako usemi wa wana wengi mtaani na umezoeleka sana kila kona ya mitaa.

Kwa sisi wana kabumbu inawezekana huyu bwana mdogo Julian Alvarez anavigezo vyote vya kuwa mshindani wa tuzo hii kubwa ulimwenguni.

Nakaribisha mjadala na kukosolewa, Alvarez ameshinda mataji matano hata mwaka hajamaliza.๐Ÿ•ท๏ธ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท

๐Ÿ† UEFA Super Cup
๐Ÿ† Champions League
๐Ÿ† FA Cup
๐Ÿ† Premier League
๐Ÿ† World Cup

02/07/2023

MWAGA PESA UPATE KILICHO BORA

๐Ÿ“Hawa ndio viungo wenye thamani zaidi duniani kwa sasa.

1โƒฃ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟJude Bellingham โ‚ฌ120
2โƒฃ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Jamal Musiala โ‚ฌ110
3โƒฃ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Pedri โ‚ฌ100
4โƒฃ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡พ Federico Valverde โ‚ฌ100
5โƒฃ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Gavi โ‚ฌ90
6โƒฃ๐Ÿด๓ง๓ข๓ฅ๓ฎ๓ง๓ฟ Declan Rice โ‚ฌ90
7โƒฃ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Martin ร˜degaard โ‚ฌ90
8โƒฃ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Rodri โ‚ฌ90
9โƒฃ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช Florian Wirtz โ‚ฌ85
๐Ÿ”Ÿ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Eduardo Camavinga: โ‚ฌ85

21/02/2023

K**A HUWEZI kufika KWENYE NYOTA basi KARIBIA MBINGUNI.

Nakumbuka enzi zile wakati Xavi anacheza ile Barca dume , the likes of Lionel Messi,ย  Andres Iniesta,ย  Pedro, Dani Alves , Puyol , Pique nk. Hiyo timu katika dimba la Camp Nou lilikuwa machinjio hasa mwiko kupata matokeo mfululizo yaani wewe mgeni upate mataokeo mfululizo ahhh wapi , kwa kuwa miaka inakwenda vizazi vinabadilika mambo yamekuwa tofauti hasa kipindi hiki ambacho Xavi yupo k**a meneja yeye amekuwa na bahati mbaya katika michuano ya ulaya hasa kwenye dimba la Camp Nou.

Rekodi mbovu za Xavi Camp Nou

๐Ÿค 0-0 vs. Benfica
๐Ÿค 1-1 vs. Napoli
๐Ÿค 0-0 vs. Galatasaray
โŒ 2-3 vs. Eintracht Frankfurt
โœ… 5-1 vs. Viktoria Plzen
๐Ÿค 3-3 vs. Inter Milan
โŒ 0-3 vs. Bayern Munich
๐Ÿค 2-2 vs. Man United

14/12/2022

URAFIKI +FAIR PLAY

Anyway ushindi wa Ufaransa unafanya waingie fainali ya pili mfululizo lakini kuna miaka mabishoo Brazil walifanya hivyo mfano mwaka 1994 na 1998. Wahuni Argentina walifanya hivo mwaka 1886 na 1990. Wengine k**a ifuatavyo ๐Ÿ‘‡

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น ๐Ÿ† 1934 ๐Ÿ† 1938
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท ๐Ÿ† 1958 ๐Ÿ† 1962
๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ† 1986 ๐Ÿฅˆ 1990
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท ๐Ÿ† 1994 ๐Ÿฅˆ 1998
๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ† 2018 โณ 2022

02/12/2022

GADIEL MBAGA KUKAGUA UWANJA ?

Nimekumbuka mbali sana leo hasa zile mechi zetu za mtaani level ya chini kabisa ila tulikuwa tunaenjoy ile passion ya soka ,watu wako radhi watumie pesa kubwa alafu ubingwa Mbuzi. Sasa gharama zake hadi bajeti ya k**ati ya ushindi ๐Ÿ˜€.

KUMBE mambo haya mpaka ligi kuu sasa kaka Gadiel mechi saa 10 jioni wewe umeenda kukagua uwanja asubuhi saa4ย  huo si muda wa mazoezi na timu yako ? Afu ukague uwanja wewe k**a nani? Mkaguzi wa uwanja au msimamizi wa mchezo? Nani kaguagiza? Hapa ni wazi yeye mchezaji wa Simba anawakilisha klabu so tuseme timu yake ilimuagiza kukagua uwanja swali pale kati kati ya uwanja ukamwagia vitu vya unga unga ulitumwa na nani ? Klabu yako ya Simba sio? . Nakosa majibu ya maswali haya ila nikae kimya tu.

Ehhh wanangu mpira wetu unakazi sana bodi ya ligi na k**ati zake kazi mnayo Anyway tutafika. Nasubir kuona hata taarifa kutoka kwa klabu kuhusu hili.

30/11/2022

MAAJABU YA HUYU MZEE.

Niwape stori vijana wenzangu huyu mzee kwenye picha anaitwa Enrique Macaya ni raia wa Argentina kazi yake ni
Mwanahabari nguli , Commentator (mtangazaji wa mechi).

Kwa sasa anamiaka 88 na bado anafanya ukoCommentator. Amekuwa kwenye kila Kombe la Dunia kuanzia 1954. Hili ni Kombe lake la 18 la Dunia. Ebu angalia mzee huyu alivyokuwa mpambanaji anashawishi mno kwa vijana wasikate tamaa ,kijana mwenzangu jivunie kazi yako pambana utafika mbali.

30/11/2022

JINSI AMBAVYO UNBEATEN INAVYOWATESA WATU๐Ÿคฃ.

29/11/2022

FA ya Ureno 'itawasilisha ushahidi kwa FIFA ambao unathibitisha kuwa Cristiano Ronaldo aliugusa mpira wa KROSS iliepigwa na Bruno Fernandes katika mchezo wao dhidi ya Uruguay' baada ya bao hilo kukabidhiwa kwa mchezaji mwenzake wa zamani wa Manchester United Bruno Fernandez

Chanzo : Mailonline

29/11/2022

Ronaldo was happy for Bruno Fernandes' brace ๐Ÿ‘

24/11/2022

Mmhhh.....๐Ÿค”

21/11/2022

NI NGUMU MNO .....HEHEHE...

kwa mujibu wa tovuti ya Marca wamechapisha stori eti Real Madrid hawatasajili mshambuliaji yeyote katika dirisha dogo la usajili k**a mbadala wa Karim Benzema.

Hivi karibuni tetesi za mnyama Cristiano Ronaldo alikuwa anatajwa huenda akatua pale Santiago Bernabeu kwenda kuongeza nguvu katika idara ya UFUNGAJI. kwa mujibu wa Chanzo hicho wakubwa wamechomoa betri anyway jaman Chelsea si mpo hamna mshambuliaji Ronaldo si uyo hapo...

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Culinary Team

Attire

Address


Dar Es Salaam