NenoSports_24/7

NenoSports_24/7

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from NenoSports_24/7, Sports, Dar es Salaam.

05/08/2025

Huu ndio muhtasari wa uhamisho unaoendelea barani ulaya, ukiwa na taarifa zote muhimu pamoja na vyanzo vyake:
* Benjamin Sesko: Kuna vita vikali kati ya Newcastle na Manchester United kumsajili mshambuliaji huyu. Newcastle walitoa ofa ya takriban ยฃ69.7m. (Chanzo: Sky Sports, Fabrizio Romano)
* Alexander Isak: Ofa ya Liverpool ya zaidi ya ยฃ100m ilikataliwa na Newcastle. (Chanzo: The Independent)
* Carney Chukwuemeka: Chelsea na Borussia Dortmund wameanza upya mazungumzo ya uhamisho wa kudumu wa kiungo huyu. (Chanzo: Fabrizio Romano)
* Tyler Morton: Kiungo wa Liverpool anakaribia kujiunga na Lyon kwa ada ya takriban ยฃ15m na anafanya vipimo vya afya. (Chanzo: This Is Anfield)
* Chuba Akpom: Ipswich na Birmingham City wanachuana kumsajili mshambuliaji huyu wa Ajax, ambapo Ipswich wanaongoza. (Chanzo: Sky Sports)
* Douglas Luiz: Amekubaliana na Nottingham Forest kimkataba, lakini ada ya uhamisho inajadiliwa na Juventus. (Chanzo: TuttoSport)
* Fabio Vieira: Kiungo wa Arsenal anazungumza na VFB Stuttgart kuhusu uwezekano wa kujiunga nao. (Chanzo: Sky Sports)
* Gianluigi Donnarumma: Kipa huyu wa PSG anahusishwa na uwezekano wa kujiunga na Manchester United. (Chanzo: TNT Sports)

09/08/2024

Mwamba huyu aitwaye Dominic Solanke ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟanakaribia kujiunga na klabu ya Tottenham kutoka Bournemouth kwa ada ya uhamisho ya ยฃ65m.

Nyota huyo anajiandaa kukamilisha uhamisho wake kujiunga na miamba hao kwa muda wa miaka sita

Via

09/08/2024

Mwamba huyu aitwaye Pedro Neto raia wa Ureno ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡นanakaribia kujiunga na klabu ya Chelsea kutoka Wolverhampton wanderers (Wolves) kwa ada ya uhamisho ya โ‚ฌ63m.
Malipo ya awali ni โ‚ฌ60m kisha โ‚ฌ3m zitalipwa kwa muendelezo kupitia vifungu vya mkataba

Ratiba ya vipimo kwaajili ya kukamilisha uhamisho wake kujiunga na miamba hao wa London iko tayari

Via

Photos from NenoSports_24/7's post 03/08/2024

Vikosi vya na tayari kuvaana usiku wa leo





04/07/2024

โ›”๏ธ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ ๐‚๐Ž๐๐…๐ˆ๐‘๐Œ๐„๐ƒ!

Simba SC wamefikia makubaliano na Racing Abidjan kumsajili beki wao wa kati daraja la juu *Chamou Karaboue* kuelekea msimu ujao.

Nyota huyo pia mekubali kuhama na ana shauku ya kucheza nchini Tanzania.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 ametajwa k**a beki bora wa kati katika Ligi Kuu ya Ivory Coast iliyomalizika hivi punde.

Via

๐Ÿฆ


Photos from NenoSports_24/7's post 04/07/2024

Upangaji wa timu zitakazofuzu kushiriki michuano ya AFCON 2025 Unaendelea nchini Morocco


04/07/2024

Habari mpya kutoka ni kwamba mlinzi wa kushoto aitwaye Nickson Kibabage aongeza mkataba mpya utakao mfanya kuweza kusalia klabuni hapo


04/07/2024

๐Ÿšจ๐Ÿ›‘๐Ÿšฆ
TETESI MBALIMBALI ULAYA

1.Inasadikika katika viunga vya Carrington kocha wa Manchester United Eric Ten Hag anakwenda kuongeza mkataba mpya wa misimu miwili kuendelea kusalia klabuni hapo mpaka mwaka 2026.

2.Mlinda lango wa klabu ya Manchester City na Brazil ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท ร‰derson Moares anahusishwa kujiunga na moja ya vilabu vya ligi kuu Saudi Arabia ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฆ huku Ikitajwa Al Nasri na vilabu vingine.

3. Mlinzi wa kati raia wa Italia ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น na klabu ya Bologna Ricardo Calafiori anayehusishwa kujiunga na klabu ya Arsenal na Chelsea,ameonyesha kuvutiwa kujiunga na Arsenal huku klabu ya Bologna Ikitajwa kuhitaji kiasi kisichopungua โ‚ฌ50m.

4.Klabu ya Flamengo kutoka nchini Brazil ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท inaangalia uwezekano wa kuweza kumpata kiungo nyota wa klabu ya West Ham na Brazil Lucas Paquetรก

5.Klabu ya Napoli kutoka Italia inaripotiwa kuwa itahitajika kulipa kiasi cha โ‚ฌ12m kuweza kumpata nyota raia wa Uhispania ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Rafa Marin kutoka klabu ya Real Madrid.

04/07/2024

Kuna jambo gani viunga vya Jangwani?
Tusubiri baada ya saa 9:30 alasiri

Via


04/07/2024

Kufikia sasa, RS Berkane haikupokea mwaliko wowote wa kucheza Ligi ya Soka Afrika yaani CAFCL au CAFCC โ›”๏ธ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Wydad wanaweza kuchukua nafasi hiyo kutoka Morocco. โœ…

Via

04/07/2024

Baada ya kocha Rulani mokwena kuachana na klabu ya Mamelodi Sundowns kumekuwa na taarifa ya kuhitajika katika timu ya AS FAR iliyopo Morocco.

Ambapo yeye kwa sasa anasema anahitaji kupumzika.

Tusubiri tuone nini kitaendelea.โš ๏ธ

AS FAR watajaribu tena kurejea kwa Rulani Mokwena?




Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


Dar Es Salaam