Did you know stingless beekeeping can create sustainable income for generations while improving health and wellness?
🌿 Invest in bees today to secure long-term income, resilient communities, and healthier families.
🌿We invite you to join the retirement plan training,held on 31.03.2026 at Mbweni Dar es salaam.
🌿You will get a hands on experience with stingless bees colony.
🌿You will get a 10% off of the starter kit in stingless bee farming.
🌿Contact us today for registration 0717944435
🌿Fees Tsh 50,000
YouthInAgribusiness ClimateSmart
Acla Honey Enterprises Ltd
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Acla Honey Enterprises Ltd, Dar es Salaam.
It’s an agribusiness firm focuses in addressing Food insecurity through training and mentoring on sustainable farming and beekeeping techniques.Processing and distributing healthy and nutritious food products known as NutriTosha and Asante honey.
Ukweli ni kwamba wastaafu wengi huishi maisha magumu baada ya ukomo wa ajira zao.
🌿Zile tips za wateja na madokezo hayapo tena.
🌿Sasa unajiandaaje kustaafu?
🌿Je unasubiri pensheni za kila mwezi ambazo huwaga hazitoshi kuendesha maisha yako ya kila siku?
🌿Kwa kutambua hilo,Acla Honey tumekuletea mafunzo madhubuti kwa ajili ya wastaafu wote na wastaafu watarajiwa.
🌿Tunakupatia mafunzo ya Uwekezaji katika miradi ambayo inauhakika ya kukupatia kipato kila siku (passive income).
🌿Mradi wa ufugaji nyuki kwa mizinga 10 tu unauhakika wa kukupatia Tsh 1,500,000 kwa mwezi.
🌿Jiunge sasa kwa namba 0717944435 kwa maelezo zaidi.
🌿Gharama ya mafunzo ni Tsh 50,000
🌿Venue : Mbweni karibu na Shamsie/Feza boys secondary school.
🌿Tarehe 31.03 2026
Ukweli ni kwamba wastaafu wengi huishi maisha magumu baada ya ukomo wa ajira zao.
🌿Zile tips za wateja na madokezo hayapo tena.
🌿Sasa unajiandaaje kustaafu?
🌿Je unasubiri pensheni za kila mwezi ambazo huwaga hazitoshi kuendesha maisha yako ya kila siku?
🌿Kwa kutambua hilo,Acla Honey tumekuletea mafunzo madhubuti kwa ajili ya wastaafu wote na wastaafu watarajiwa.
🌿Tunakupatia mafunzo ya Uwekezaji katika miradi ambayo inauhakika ya kukupatia kipato kila siku (passive income).
🌿Mradi wa ufugaji nyuki kwa mizinga 10 tu unauhakika wa kukupatia Tsh 1,500,000 kwa mwezi.
🌿Jiunge sasa kwa namba 0717944435 kwa maelezo zaidi.
🌿Gharama ya mafunzo ni Tsh 50,000
🌿Venue ni shamba la nyuki wadogo Mbweni -Shamsie /Feza boys secondary school.
🌿Tarehe 31.03.2026
18/03/2026
🌿We are advancing sustainable income generation for women and youth through a Beekeeping Training Program that integrates technical skills with business development.
🌿This initiative addresses unemployment, promotes forest restoration, and strengthens climate-resilient livelihoods.
🌿We invite retirees to engage in this low-risk, impact-driven opportunity, and welcome collaboration with NGOs and partners working in youth empowerment, conservation, and climate action.
🌿Contact us through 0717944435 for more details.
18/03/2026
🔥 UNATAFUTA WAZO LA BIASHARA YA KUKUONGEZEA KIPATO KWA HARAKA 🔥
🌿Acla Honey tunakupa fursa ya kuwa msambazaji wa bidhaa inayosaidia kuboresha afya ya kina mama,baba na watoto yaani jamii nzima kwa ujumla.
🌿Asali ni bidhaa inayouzwa KILA SIKU:
afya, lishe, tiba asilia—wateja hawakauki.
K**a unaweza kuuza sukari, soda au mchele,
BASI UNAWEZA KUUZA ASALI.
Hii si ajira—ni biashara inayokupa hela kwa mikono yako mwenyewe.
✔ Unanunua asali kwa BEI YA JUMLA
✔ Unauza kwa BEI YA SOKO
✔ FAIDA ni yako moja kwa moja
✔ Hakuna kodi ya duka
✔ Hakuna kusubiri malipo ya mteja
📦 Tunakupa bidhaa katoni zenye pisi 20 za ujazo wa 250g kwa Tsh 130,000.
📊 Tunakupa mwongozo wa mauzo
💰 Wewe unachukua faida,Tsh 25,000 nakuendelea.
Karibu,kwa mawasiliano zaidi 0717944435
As an agribusiness advisor in Tanzania’s beekeeping sector, I had the opportunity to train 100 youth passionate about climate action and mangrove restoration in Bagamoyo.
Together, we combined mangrove seedling planting with beehive installation, demonstrating a practical model that links ecosystem restoration with sustainable income generation for coastal communities.
This intervention reflects a clear pathway: restoring nature while creating economic opportunity for youth.
We are open to collaboration with NGOs and partners working toward ocean restoration and climate resilience. Let’s scale impact together.
Tanzania
02/03/2026
Kwa suluhisho la haraka la mafua yaliobana na mwili uliochoka,tumia vijiko viwili vya Asali ya Acla Stingless Bee Acla Honey Enterprises Ltd
WhatsApp 0717944435 for order.
28/02/2026
🌿Tumia Acla Stingless bee Honey kijiko kimoja asubuhi,mchana na jioni ili kuongeza kinga ya mwili dhidi ya maambukizi ya uviko 19.
Nta ya nyuki ni kiambata muhimu katika usindikaji wa vipodozi asilia.
🌿Kutokana na muundo wake wa kikemia husaidia kukinda,kurekebisha na kuboresha afya ya ngozi bila kuziba poles.
🌿Husaidia kutunza unyevu wa ngozi na kuilinda dhidi ya upepo /jua kali.
🌿Ina vitamin A ambayo husaidia kuboresha seli za ngozi na kuifanya iwe angavu.
🌿Husaidia skin repairing na wound healing.
Tumia sasa na uone mabadiliko ya ubora wa bidhaa zako.
Inapatikana Dar es salaam,Goba njia nne.
Bei ni Tsh 20,000/kg
🌿Nta ya nyuki ni kiambata muhimu katika usindikaji wa vipodozi asilia kutokana na muundo wake wa kikemia ambao husaidia kulinda,kuboresha na kurekebisha afya ya ngozi bila kuleta madhara yoyote.
🌿Nta ya nyuki ina Vitamin A ambayo husaidia skin repair.
🌿Nta ya nyuki hupunguza upotevu wa maji huvyo husaidia ngozi kua na unyevu wakati wote.
🌿Husaidia textrue ya vipodozi.
Mapenzi ya kweli huanza na afya njema na nguvu ya kila siku ❤️🍯
🌿Katika ndoa na mahusiano, changamoto za kawaida ni uchovu, stress, kushuka kwa hamu ya kimapenzi, matatizo ya mmeng’enyo, homoni kutokaa sawa (hasa kwa wanawake), na kinga dhaifu ya mwili kwa wanaume na wanawake. Changamoto hizi huathiri ukaribu, mawasiliano na furaha ya pamoja.
🌿Acla Stingless Bee Honey ni suluhisho la asili. Lina antioxidants, virutubisho na bioactive compounds zinazosaidia kuongeza nguvu na stamina, kuboresha afya ya homoni kwa wanawake, kuimarisha kinga ya mwili, na kusaidia mmeng’enyo mzuri wa chakula. Afya ikikaa sawa, mapenzi nayo huimarika.
💝 Valentine hii, usitoe zawadi ya kawaida. Toa zawadi yenye maana.
Chagua Acla Honey – zawadi ya afya, nguvu na upendo wa kweli.
📩 Wasiliana nasi sasa kwa WhatsApp 0717944435
| 🛒 Nunua Acla Honey leo na mfanye mpenzi wako ajisikie kuthaminiwa kwa dhati.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
5603