14/05/2026
Uwanja unaenda kujengwa 🔥
Page hii ni maalumu kwa Mashabiki wote wa Yanga Sc.....
Yanga Sc Group of Supporters
#USHINDI NI TABIA YETU
14/05/2026
Uwanja unaenda kujengwa 🔥
14/05/2026
Kigomaaaaaaaaa
14/05/2026
Alifunga goli against Simba tukapata sare , hayo ni makosa ya kawaida kwenye mechi hatutakiwi kususa
13/05/2026
13/05/2026
Pedro alikuwa anashinda ila analaumiwa , haya huyu anae fungwa lawama anaepuka vipi?
Maamuzi ya kumfukuza Pedro yalikuwa ya kishabiki hayakuzingatia weledi
Wengi mtapinga ila hata huu Ubingwa tunaweza kuukosa msimu huu kwa sababu ya maamuzi yaliyofanyika
Eti kwa sababu Influencers wamesema kocha mbaya basi ndio anafukuzwa , tumekuwa na Unbeaten yetu wakati wa Pedro na bado gap la point lilikuwa 5
Mechi mbili tu baada ya Pedro kuondoka tumefungwa kwa mara ya kwanza
13/05/2026
Bora uwe na kocha anae shinda mechi kuliko kuwa na kocha anae taka kuburudisha mashabiki
13/05/2026
Tujifunze kuheshimu taaluma za watu
13/05/2026
HT
Dodoma Jiji 1 Vs 2 Yanga Sc
13/05/2026
Kila laheri Wananchi katika Mechi ya leo
13/05/2026
Hizi taarifa za Fenerbache kumtaka Star wetu zina ukweli ?
12/05/2026
Arusha Stadium 🙌🙌🙌 Tusubiri GSM Stadium sasa