12/01/2026
🆕 KWA UFUPI HAKUNA KILICHOBADILIKA
Kiungo wa Singida Black Stars Marouf Tchakei amerejea kwenye klabu yake.Awali Yanga walikubaliana kumchukua Marouf Tchakei kwa mkopo hadi mwisho wa msimu baada ya dili ya kiungo mshambuliaji Allan Okello kusuasua.
Lakini Ujio wa Allan Okello ndani ya kikosi cha Yanga kwenye dirisha hili dogo la usajili limemuondoa Kiungo Marouf Tchakei kusalia ndani ya Yanga kutokana idadi ya wachezaji wa kigeni kuzidi.
Hakuna Kilicho Badilika Kiungo Mousa Balla Conte na Mohammed Doumbia watajiunga na Singida Black stars hivi karibuni k**a sehemu ya makubalino baina ya Yanga na Singida Black stars.
✍️ Hans Rafael14
11/01/2026
🆕 NYOTA WA YANGA SC, ALLAN OKELLO ATAWASILI TZ KESHO..🔰
Nyota mpya wa Yanga Allan Okello ataingia nchini siku ya kesho kujiunga na kikosi cha Yanga kwa majukumu yake mapya ndani ya timu.
11/01/2026
Nilitaka kushea mkeka huu na nikaacha maana musingetumia, bado mbili nipate mtaji
10/01/2026
🆕 : TCHAKEI HANA UHAKIKA WA NAMBA
Malouf Tchakei yupo kwenye uangalizi na kocha wa Yanga Pedro Gonçalves 🇵🇹 k**a anaweza kufit kwenye mfumo wake .
Baada ya deal la Allan Okello kukamilika kuna Asimilia kubwa ya Tchakei kurudi Singida BS, Akihofia kukosa namba mbele ya ALAN OKELO...
09/01/2026
Hii mechi si ya kutazama, maamuzi si mazuri. Nikalale tu.
Usiku Mwema
09/01/2026
FAINALI NI YANGA VS AZAM FC
BOMBANI STUDIUM
09/01/2026
MASHABIKI WA CAMEROON TUJUANE 🕺
09/01/2026
UWANJA WA PRINCE ABDALAH MOURAY UNAPENDEZA
09/01/2026
🇲🇱 🚨 Golikipa wa Mali Djigui Diarra amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Mchezo Robo final Mali dhdi ya Senegal
09/01/2026
MAXIIIIIII
54" GOOOOOL
Game On
09/01/2026
Mechi ya Senegal na Mali vinapigwa vichwa vichwani sana 🙌