13/11/2025
🔜
Tunatarajia kukipiga dhidi ya AS Maniema Union kwenye mechi yetu ya kwanza ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, itakayofanyika Uwanja wa Stade Des Martyrs, Kinshasa, DR Congo, Novemba 23, 2025, saa 10.00 jioni (saa za Afrika Mashariki).
15/10/2022
Jezi yako ya Azam FC ndio tiketi yako kesho Jumapili Azam Complex!
REMONTADA Inawezekana!
Vaa jezi yako yoyote ya msimu wowote ya Azam FC, halafu tukutane Azam Complex tukapindue meza kibabe.
15/10/2022
Usikose... Tareh 16/10/2022 jumapil saa 1 kamili jion...
21/08/2019
Don't miss...mapema tu tunatapisha uwanja
18/08/2019
Vijana wamepambana ila ndo mpira.tumekubal matokeo na tunajipanga na mech yetu ya marudiano ya comfederation hapa dar dhid ya waethiopia