16/05/2022
🤔🤔🤔✅
This is the home of football
16/05/2022
🤔🤔🤔✅
13/07/2020
Sven.....Matola ---kiukweli mmefanya uteuzi mzuri Sana wa kikosi kila kona kumetimia tuitunze hii Team kitatusaidia kimataifa K**a ni maboresho yasizidi manne msimu ujao tutawaburuza Sana
13/07/2020
Kunamwamba mmoja wakuitwa Chama kiukweli hii ndio engine ya Simba SC Tanzania yy ndie anaeamua speed ya mechi akiwa uwanjani huyu jamaa mm huwa namuita lubricant maana anafanya mtu uone mpira wa miguu ni kazi nyepesi Sana kituambacho sio kweli mpira ni kazi ngumu sana ila kwa chama anautumikisha mpira na unamtii kiukweli chama ndie kiungo bora kwa sasa kwenye ligi kuu Tanzania bara Hakuna Becki anayetamani kumkaba huyu mwamba kiukweli chama anacheza huku akionyesha kiburi cha soka pia anaswaga ila nizile zenye faida kwa timu c k**a zile za Morison za kuonyesha dharau chama ni complete namba 10
13/07/2020
Jana Simba SC Tanzania Kila mchezaji kacheza kwa nidhamu na utimamu wa hali ya juu tactics zilikuwa sahihi much approach ilikuwa Good physical wachezaji walikuwa imara sana nidhamu ya hali ya juu everything Was fantastic kiukweli 💪💪💪walikuwa imara Sana hongera Sana kwa bench LA ufundi Sven pamoja na matola mmefanya kila kitu ktk hali ya utulivu saikolojia za wachezaji zlikuwa poa Sana THITHIS IS SIMBA THIS IS SIMBAMTHIS IS SIMBA
13/07/2020
Hongera sana mwamuzi kiukweli umefanya kazi yako ipasavyo atakae lalamika tukamfanyie vpimo vya akill well-done
13/07/2020
Louis jose mickson leo umecheza ktk kiwango cha juu sana ww ni mtu na nusu kiukweli umetukosha Sana wanasimba umefunga goli lako la Kwanza kwenye derby with fantastic performance congratulations brother we love you so much keep it up all the best now we are going International so I'm hope you will help us 100
20/02/2017
Jaman kutokana na mambo mengi ya kiuchumi aliyo ipatia club ya arsenal mzee Asern Wenger,lakin kashindwa tu kuwapatia mashabiki furaha ya ubingwa wa ligi kuu na kombe la UEFA CHAMPIONS league je Wenger sasa anapaswa kuwaachia wengine waendeleze pale alipo ishia ama bado anaweza kupambana zaidi.........?
14/07/2016
12/07/2016
Talent
11/07/2016
Portugal success 2016
11/07/2016
Portugal succeed to win the tittle 2016 in European cup of Nations