29/09/2017
mtibwa sugar rasmi yawasili karibuni uwanja wa uhuru kushuhudia mchezo wetu dhidi dar young africa kesho
WELCOME TO OFFICIAL FACEBOOK PAGE OF MTIBWA SUGAR FOOTBALL CLUB.
29/09/2017
mtibwa sugar rasmi yawasili karibuni uwanja wa uhuru kushuhudia mchezo wetu dhidi dar young africa kesho
22/09/2017
tukutane mabatini pwani
08/04/2017
katikakati ya mashamba ya miwa manungu complex maandalizi ya mchezo dhidi ya mtibwa na azam j3 tarehe 10.04.2017
16/02/2017
Winga mkongwe aliyeitumikia Mtibwa sugar na Taifa stars kwa mafanikio Vicent Barnabas ameamua kuingia katika ulimwengu mwingine na kuwa mkufunzi wa soka.
Vicent Barnabas ambaye amepewa baraka zote na uongozi wa timu kwa ajili ya kwenda kusomea kozi hiyo ya ukocha mjini Morogoro, mafunzo hayo ya ukocha wa awali yatamchukua winga huyo wiki mbili.
Uongozi wa klabu ya Mtibwa sugar chini ya Jamal Byser umempa baraka zote winger huyo kwenda kusomea ukocha na kitendo cha mchezaji huyo wa kutegemewa katika kikosi cha wakata miwa Mtibwa sugar kusoma kozi ya ukocha kina dumisha utamaduni wa Wana tamtam kuwapeleka wachezaji wao kusoma ukocha na baadhi ya wachezaji waliocheza Mtibwa sugar na kupata mafunzo ya ukocha ni Salum Mayanga, Zuber Katwila, Edwin Hangai, Salhina Mjengwa, Mwesa na Mecky Mexime.
Akizungumza na mtandao wa klabu www.mtibwasugar.co.tz Vicent Barnabas amesema ataendelea kuwa mchezaji wa Mtibwa sugar huku akichukua kozi za ukocha na huu ndo mwanzo wa maisha mapya.
“nimesajiliwa Mtibwa sugar na nitaendelea kuwa Mtibwa sugar nimeanza kujiandaa na career mpya katika maisha yangu ya soka na huu ni mwanzo hii ni kozi ya wali kabisa nataka kufika juu” Barnabas
Captain huyo msaidizi wa Mtibwa sugar amekuwa mtu muhimu katika kikosi cha wana tamtam msimu huu na amefanikiwa kufunga goli mbili hadi hivi sasa.
Winga mkongwe aliyeitumikia Mtibwa sugar na Taifa stars kwa mafanikio Vicent Barnabas ameamua kuingia katika ulimwengu mwingine na kuwa mkufunzi wa soka.
Vicent Barnabas ambaye amepewa baraka zote na uongozi wa timu kwa ajili ya kwenda kusomea kozi hiyo ya ukocha mjini Morogoro, mafunzo hayo ya ukocha wa awali yatamchukua winga huyo wiki mbili.
Uongozi wa klabu ya Mtibwa sugar chini ya Jamal Byser umempa baraka zote winger huyo kwenda kusomea ukocha na kitendo cha mchezaji huyo wa kutegemewa katika kikosi cha wakata miwa Mtibwa sugar kusoma kozi ya ukocha kina dumisha utamaduni wa Wana tamtam kuwapeleka wachezaji wao kusoma ukocha na baadhi ya wachezaji waliocheza Mtibwa sugar na kupata mafunzo ya ukocha ni Salum Mayanga, Zuber Katwila, Edwin Hangai, Salhina Mjengwa, Mwesa na Mecky Mexime.
Akizungumza na mtandao wa klabu www.mtibwasugar.co.tz Vicent Barnabas amesema ataendelea kuwa mchezaji wa Mtibwa sugar huku akichukua kozi za ukocha na huu ndo mwanzo wa maisha mapya.
“nimesajiliwa Mtibwa sugar na nitaendelea kuwa Mtibwa sugar nimeanza kujiandaa na career mpya katika maisha yangu ya soka na huu ni mwanzo hii ni kozi ya wali kabisa nataka kufika juu” Barnabas
Captain huyo msaidizi wa Mtibwa sugar amekuwa mtu muhimu katika kikosi cha wana tamtam msimu huu na amefanikiwa kufunga goli mbili hadi hivi sasa.
Mtibwa Sugar ya kushinda mechi ya jana katika uwanja wa Nangwanda sijaona Goli 2:0 dhindi ya Ndanda Fc mtibwaa sugar Yaanza safari ya kurejea Manungu kuikabili Majimaji ya songea katika uwanja wa manungu Mtibwa ambayo inafundishwa na kocha mzalendo salum mayanga jana imefanikiwa kupata pointi tatu muhimu kwa sasa ipo nafasi ya tano ikiwa na jumla ya alama 28
Kila la heri Mtibwa Sugar
Unite we stand
18/12/2016
MTIBWA SUGAR YAFANYA TAFRIJA KUWAPONGEZA VIJANA WAO WA UNDER 20 KUSHIKA.NAFASI YA TATU
Timu ya Mtibwa sugar imefanya tafrija fupi ya kupongeza timu yao kwa kushika nafas ya tatu.Hafla hyo imefanyika katika ofisi za super doll jijin dar es salam
akizungumza na vijana hao Mkurugenzi wa mtibwa sugal Jamal bayser amesema wao k**a mtibwa wanajivunia kuona wanakuwa mfano kwa timu nyingine hapa tanzania
Aidha amesema pamoja na ligi hiyo kumalizika.wachezaji hao wataendea kuwatumia.katika.michezo mbalimbali. na pia wao k**a uongozi wataendelea.kuwapandisha wachezaji kuchezea timu kubwa
mtibwa.sugar iliokuwa ikifundishwa na wachezaji.wa zamani salhina mjengwa na koba karumbeta wamefanikuwa kushika nafasi ya tau.baada ya kumfunga stand united goli 3:0
magoli yaliofungwa na.mchezaj anaejulikana.kwa jina.la.chomeka alieifungia mtibwa magoli 2 na goli la lala salama lilifungwa na nassor bakar maarufu k**a chollo kijana anaetokea Mkoani morogoro wilaya ya mvomero kitongoji cha lusanga
kila.la heri mtibwa
unite we.stand
wachezaji wa mtibwa wakifanya mazoez katika uwanja wa manungu