Refa kawekwa kati bila kujitambua
Habari za michezo
kutoa habari za michezo hususani soka kutoka pande zote za ulimwengu
kama vile ratiba za ligi mbalimbali,matokeo ya mechi,usajili na habari nyingine nyingi.
15/03/2026
FT | Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League)
π²π¦ RS Berkane 1-1 Al Hilal πΈπ©
β½ Roof (dakika ya 12β)
β½ Chouiar (90+8β)
Mchezo ulikuwa na msisimko mkubwa mwishoni, ambapo RS Berkane walipata bao la kusawazisha dakika za mwisho kabisa za muda wa nyongeza.
Sasa matokeo ni sare 1-1, na timu zote zinaelekea kwenye mchezo wa marudiano utakaochezwa Kigali. π₯β½
14/03/2026
K**a uvyoonekana msimamo wa EPL tembo bado yupo juu hataki kushuka
14/03/2026
ποΈ Pep Guardiola kuhusu mbio za ubingwa wa Premier League:
βBado tuna mchezo mmoja mkononi, na pia tuna mchezo wa nyumbani dhidi ya Arsenal F.C., kwa hiyo lazima tujaribu kupambana hadi MWISHO.β π
βK**a haitowezekana, tutawapongeza mabingwa, lakini lazima tujaribu kupambana...β π Arsenal kazi kwenu
14/03/2026
π¨ Taarifa Mpya: Arsenal F.C. sasa wana pointi 9 zaidi ya Manchester City F.C. kwenye msimamo wa Premier League! π²π
14/03/2026
β°οΈ19' Anthony Gordon
π§Ώ Chelsea 0-1 Newcastle United βͺοΈ
14/03/2026
Napoli anaweka mzani sawa
Dakika 50
Napoli 1 : Lecce 1
14/03/2026
π¨ ππππππ ππππ: Kylian MbappΓ© amerudi kufanya mazoezi na mpira leo. πβ½
Inaashiria kuwa nyota huyo wa Real Madrid anaendelea vizuri katika kupona na huenda akarudi uwanjani hivi karibuni.
14/03/2026
π¨ Ujumbe wa Γlvaro Arbeloa kwa wachezaji kocha wa Real Madrid
βKatika klabu hii, tunasherehekea MAKOMBE, si ushindi wa mechi tu. Hakuna kitu kilichokamilika β πͺπ»π
14/03/2026
Kikosi cha Arsenal dhidi ya Everton
Burkina Faso wale watinga robo fainali baada ya kuwafunga Gabon kwenye mikwaju ya penati
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam