Haji Manara

Haji Manara

Share

Former Spokesman for Tanzania's biggest clubs Simba SC & Young Africans SC

Photos from Haji Manara's post 30/04/2026

Ndio football but na Sisi tupunguze midomo midomo , tunachonga mno kupitiliza wakati kocha wetu ni Muomba Mungu tu!!

Tulionyesha kujiamini kupitiliza nje ya uwanja na kufanya mbwembwe nyingi za kipuuzi,Show za kindezi kibao kabla ya mechi tukasahau uzito wa kukutana na Makolo.

Mnawaaminisha hadi Washabiki wetu kwamba ni ise tu kwetu,Mechi hz hazihitaji mazoea.

Derby haihitaji dharau na tusipokuwa makini watatukanda tena jumapili!!

Na Wallah Wakishinda ntakuja na viboko hapo kaunda kuwatandika.

29/04/2026

Zimebaki Saa Chache Mno kabla ya Wanaume Wawili kutifuana kule Zanzibar.

Ninategemea kuona Mechi nzuri itakayoamua Bingwa wa kombe muhimu la Muungano leo pale Amaan Stadium !!

Natamani kuona Team ya ikishinda tena mechi hii lakini sio rahisi sana,Simba imejiimarisha uwanjani, tunapaswa kudhihirisha ubora wetu kwa mikakati maalum huku tukiweka akiba ya mchezo wa Ligi kuu pale Mbweni Jumapili.

18/04/2026

Hivi Young Africans Sports Club hii inapagazwa na Wahuni kutwa na Taasisi ipo kimya?
Tumelea wenyewe hii hali but kwa hili ntakuja na viboko aisee.
Uongozi usipochukua hatua za kukomesha kashfa kubwa za uongo za Rushwa maana yake tunafanya kweli!!

Nnaloliona mimi ni kuendeleza β€˜USHKAJI’ ndio maana Taasisi inabagazwa hovyo!!
Take Action ili iwe mfano kwa wahuni wengine.

Yanga ni kubwa mno kupewa tuhuma nzito za hovyo hovyo.

16/04/2026

Leo nikiwa k**a Diwani wa kata kubwa ya Kariakoo na Mwenyekiti wa k**ati ya Mipango Miji na Mazingira ya Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam, nilipata bahati ya kuwa Mgeni rasmi kwenye mahafali ya kidato cha sita ya Shule ya Sekondari ya Wavulana Pugu (Pugu Boys) ya hapa jijini.

Sekondari ya Pugu ni Shule aliyowahi kuhudumu Baba wa Taifa Mwalimu JK Nyerere k**a Mwalimu na pia Rais wa awamu ya tatu Marehemu Benjamin Mkapa nae aliwahi kusoma hapo k**a mwanafunzi.

Ni Shule yenye historia kubwa nchini na ina sifa ya kutoa Wanafunzi wengi waliopata kushika nafasi kadhaa za kiuongozi nchini akiwemo Waziri wa sasa wa Maji Mhe. pamoja na Majaji kadhaa.

Pugu Boys High School πŸ™

10/04/2026

Friday MoodπŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿

Wasafi FM πŸ”₯

Photos from Haji Manara's post 08/04/2026

Jana Yako Ndio Leo Yako Ya Kesho,,,

USIOGOPEπŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿

Wasafi FM
πŸ”₯

30/03/2026

YeahπŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺ🏿

24/03/2026

Usajili wa Wachezaji ni K**ari kamili, Na sifa kuu ya k**ari ni bahati nasibu.
Wangapi walioletwa na yeye waliclick? Tulipongeza?
Hata huyu tuliekesha kumhangaikia ni yeye no matter kwamba hadi sasa ni full Chale 😜😜
Muhimu tuwe firm, Wakibuma ni wetu na Wakiclick ni wetu,
Na tumewaleta Sisi chini ya khalifa wetu anaendelea kutuongoza vyema.
Tusitafute any kichaka kwa aliyebuma, kiufupi hzo ndio raha na karaha za k**ari za usajili!!
Mmesahau Ubora wa Yele Boy au Uduwanzi wa yule Shekh Yikpe😜πŸ€ͺ

23/03/2026

Hatimae Moshi Mweupe umeonekana Jangwani Street πŸ€ͺπŸ€ͺ
From Diwani wa Wananchi na Kariakoo πŸ’ͺ🏿πŸ’ͺπŸΏπŸ™πŸ™

22/03/2026

Ahly Wanafunzi hodari wa falsafa za Team kubwa πŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈ
Na Yanga,TUSICHELEWE SANA WAKUBWA ZANGU PLS πŸ™πŸ™πŸ™

Kufanya maamuzi tuu,HAITOSHI !!
Kufanya maamuzi sahihi pia.HAITOSHI !!
Na hata kufanya maamuzi sahihi katika wakati sahihi peke yake . HAITOSHI!!
Kufanya maamuzi sahihi katika wakati sahihi na kwa kasi ya kutosha, ili kuokoa muda ndio INATOSHA !!

Jumatatu Ingefaa sana kocha wetu mpya awe kwenye ndege kuja kuanza kazi. Muhimu tuletewe tunae mjua, na awezae kuwafunda vilivyo hawa Wachezaji tulionao sasa!!

Nb: Hayo ni mawazo yangu mwenye Yanga yangu,
Pls nipingeni mimi ila msipinge mawazo sahihi hata K**a yanatoka kwa MSIYEMPENDA πŸ€ͺπŸ€ͺ

25/12/2025

Ninawatakia kheri ya Sikukuu ya Krismasi Wakristo na Watanzania wote. Tusherehekee sikukuu hii kwa amani, upendo, utulivu, na tukidumisha mshik**ano wa kitaifa.

Mwenyezi Mungu awabariki nyote.πŸ™πŸ™

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Kariakoo
Dar Es Salaam