SportsChaka

SportsChaka

Share

Update na msimamo wa League ya Tanzania Unazipata hapa. Habari zote za michezo utazipata hapa!!

13/10/2023

Group of Death?

Tanzania itakutana na mechi ngumu katika hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2023 baada ya kutoka sare ngumu kwa nchi hiyo.

Kundi F:

🇲🇦 Moroko
🇨🇩 DR Congo
🇿🇲 Zambia
🇹🇿 Tanzania

⚽ Tanzania imefuzu kwa michuano ya AFCON kwa mara ya kwanza tangu 2019

15/09/2023

2023/23

15/09/2023

Matokeo ya Ligi kuu leo

09/09/2023

FULL TIME ⏰

Brazil 🇧🇷 5️⃣ ➖ 1️⃣ Bolivia 🇧🇴

⚽ 24' Rodrygo
⚽ 27' Raphinha (🎯 Neymar)
⚽ 53' Rodrygo (🎯 Guimares)
⚽ 61' Neymar (🎯 Rodrygo)
⚽️ 78' Abrego (🎯 Villamil)
⚽️ 90+3' Neymar (🎯 Raphinha)

World Cup Qualifiers

09/09/2023

FULL TIME ⏰

DRC 🇨🇩 2️⃣ ➖ 0️⃣ Sudan 🇸🇩

⚽ 8' Bongonda
⚽ 87' Mayele

☑️ DRC wamefuzu AFCON 2023.

09/09/2023

FULL TIME | Friendly Match

Simba 6️⃣ ➖ 0️⃣ Ngome FC
Kapombe⚽️
Kramo⚽️
Baleke⚽️⚽️
Chilunda⚽️
Onana⚽️

09/09/2023

FULL TIME ⏰

Senegal 🇸🇳 1️⃣ ➖ 1️⃣ Rwanda 🇷🇼
⚽ 66' Camara (🎯 Cheikh Sidibe)
⚽️ 90+7' Olivier Niyonzima

☑️ Kutoka Kundi L, Senegal 🇸🇳 na Mozambique 🇲🇿 zimefuzu AFCON 2023 nchini Ivory Coast 🇨🇮

08/07/2023

Roberto Firmino ndiye nyota wa mpya kujiunga na Saudi Pro League 🤩🇸🇦

07/04/2023

FULL TIME

Fc Barcelona 0️⃣ ➖ 4️⃣ Real Madrid

⚽ 45+1' Vini Jr
⚽ 50' Benzema
⚽ 58' Benzema
⚽ 80' Benzema

Real Madrid wametinga hatua ya Fainali ya Copa Del Rey, watavaana na Osasuna.

Photos from SportsChaka's post 19/03/2023

Kwa Mara Ya kwanza Tanzania yaingiza timu mbili robo fainali ya michuano ya

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam