SportsChaka

SportsChaka

Share

Update na msimamo wa League ya Tanzania Unazipata hapa. Habari zote za michezo utazipata hapa!!

13/10/2023

Group of Death?

Tanzania itakutana na mechi ngumu katika hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2023 baada ya kutoka sare ngumu kwa nchi hiyo.

Kundi F:

🇲🇦 Moroko
🇨🇩 DR Congo
🇿🇲 Zambia
🇹🇿 Tanzania

⚽ Tanzania imefuzu kwa michuano ya AFCON kwa mara ya kwanza tangu 2019

15/09/2023

2023/23

15/09/2023

Matokeo ya Ligi kuu leo

09/09/2023

FULL TIME ⏰

Brazil 🇧🇷 5️⃣ ➖ 1️⃣ Bolivia 🇧🇴

⚽ 24' Rodrygo
⚽ 27' Raphinha (🎯 Neymar)
⚽ 53' Rodrygo (🎯 Guimares)
⚽ 61' Neymar (🎯 Rodrygo)
⚽️ 78' Abrego (🎯 Villamil)
⚽️ 90+3' Neymar (🎯 Raphinha)

World Cup Qualifiers

09/09/2023

FULL TIME ⏰

DRC 🇨🇩 2️⃣ ➖ 0️⃣ Sudan 🇸🇩

⚽ 8' Bongonda
⚽ 87' Mayele

☑️ DRC wamefuzu AFCON 2023.

09/09/2023

FULL TIME | Friendly Match

Simba 6️⃣ ➖ 0️⃣ Ngome FC
Kapombe⚽️
Kramo⚽️
Baleke⚽️⚽️
Chilunda⚽️
Onana⚽️

09/09/2023

FULL TIME ⏰

Senegal 🇸🇳 1️⃣ ➖ 1️⃣ Rwanda 🇷🇼
⚽ 66' Camara (🎯 Cheikh Sidibe)
⚽️ 90+7' Olivier Niyonzima

☑️ Kutoka Kundi L, Senegal 🇸🇳 na Mozambique 🇲🇿 zimefuzu AFCON 2023 nchini Ivory Coast 🇨🇮

08/07/2023

Roberto Firmino ndiye nyota wa mpya kujiunga na Saudi Pro League 🤩🇸🇦

07/04/2023

FULL TIME

Fc Barcelona 0️⃣ ➖ 4️⃣ Real Madrid

⚽ 45+1' Vini Jr
⚽ 50' Benzema
⚽ 58' Benzema
⚽ 80' Benzema

Real Madrid wametinga hatua ya Fainali ya Copa Del Rey, watavaana na Osasuna.

Photos from SportsChaka's post 19/03/2023

Kwa Mara Ya kwanza Tanzania yaingiza timu mbili robo fainali ya michuano ya

19/03/2023

Yanga yaingia Robo Fainali ya kwa mara ya kwanza

04/03/2023

Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limemtangaza Adel Amrouche Raia wa Ubelgiji mwenye asili ya Algeria kuwa Kocha Mpya wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars.

Adel ambaye atakuwa akilipwa mshahara na serikali wakati wote wa mkataba wake amewahi kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars na kuiongoza kucheza michezo 20 mfululizo bila kupoteza.

Pia Adel amewahi kuwa Kocha wa Burundi, Botswana, Equatorial Guinea, Libya na Yemen huku akiwa kuwa Mkurugenzi wa micheza wa FC Brussels ya Ubelgiji.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam