13/10/2023
Group of Death?
Tanzania itakutana na mechi ngumu katika hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2023 baada ya kutoka sare ngumu kwa nchi hiyo.
Kundi F:
🇲🇦 Moroko
🇨🇩 DR Congo
🇿🇲 Zambia
🇹🇿 Tanzania
⚽ Tanzania imefuzu kwa michuano ya AFCON kwa mara ya kwanza tangu 2019
09/09/2023
FULL TIME ⏰
Brazil 🇧🇷 5️⃣ ➖ 1️⃣ Bolivia 🇧🇴
⚽ 24' Rodrygo
⚽ 27' Raphinha (🎯 Neymar)
⚽ 53' Rodrygo (🎯 Guimares)
⚽ 61' Neymar (🎯 Rodrygo)
⚽️ 78' Abrego (🎯 Villamil)
⚽️ 90+3' Neymar (🎯 Raphinha)
World Cup Qualifiers
09/09/2023
FULL TIME ⏰
DRC 🇨🇩 2️⃣ ➖ 0️⃣ Sudan 🇸🇩
⚽ 8' Bongonda
⚽ 87' Mayele
☑️ DRC wamefuzu AFCON 2023.
09/09/2023
FULL TIME | Friendly Match
Simba 6️⃣ ➖ 0️⃣ Ngome FC
Kapombe⚽️
Kramo⚽️
Baleke⚽️⚽️
Chilunda⚽️
Onana⚽️
09/09/2023
FULL TIME ⏰
Senegal 🇸🇳 1️⃣ ➖ 1️⃣ Rwanda 🇷🇼
⚽ 66' Camara (🎯 Cheikh Sidibe)
⚽️ 90+7' Olivier Niyonzima
☑️ Kutoka Kundi L, Senegal 🇸🇳 na Mozambique 🇲🇿 zimefuzu AFCON 2023 nchini Ivory Coast 🇨🇮
08/07/2023
Roberto Firmino ndiye nyota wa mpya kujiunga na Saudi Pro League 🤩🇸🇦
07/04/2023
FULL TIME
Fc Barcelona 0️⃣ ➖ 4️⃣ Real Madrid
⚽ 45+1' Vini Jr
⚽ 50' Benzema
⚽ 58' Benzema
⚽ 80' Benzema
Real Madrid wametinga hatua ya Fainali ya Copa Del Rey, watavaana na Osasuna.
19/03/2023
Kwa Mara Ya kwanza Tanzania yaingiza timu mbili robo fainali ya michuano ya
19/03/2023
Yanga yaingia Robo Fainali ya kwa mara ya kwanza
04/03/2023
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limemtangaza Adel Amrouche Raia wa Ubelgiji mwenye asili ya Algeria kuwa Kocha Mpya wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars.
Adel ambaye atakuwa akilipwa mshahara na serikali wakati wote wa mkataba wake amewahi kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Kenya Harambee Stars na kuiongoza kucheza michezo 20 mfululizo bila kupoteza.
Pia Adel amewahi kuwa Kocha wa Burundi, Botswana, Equatorial Guinea, Libya na Yemen huku akiwa kuwa Mkurugenzi wa micheza wa FC Brussels ya Ubelgiji.