13/05/2026
Ni winga mmoja tu duniani kwa sasa ambaye anapimwa kuwa na kiwango cha juu kuliko Lamine Yamal.
Unaweza kumtaja huyo winga??π€
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from NEVES sports, Sports, Dar es Salaam.
β½π₯ππ©π¨π«ππ¬ ππ§ππ₯π²π¬πππ²: Usipitwe na π’ Habari za nyota mbali mbali ,Updates za ligi mbalimbali, matokeo ya mechi, uchambuzi wa kina na makala kemkemπ―
ππππ πππππ πππ ππππππ π
πππππππ ππππππ ππππ
β½
13/05/2026
Ni winga mmoja tu duniani kwa sasa ambaye anapimwa kuwa na kiwango cha juu kuliko Lamine Yamal.
Unaweza kumtaja huyo winga??π€
13/05/2026
Ni vilabu 3 pekee pale Premier League ambavyo havijapata kadi nyekundu hata moja mpaka kufikia sasa.
Manchester City,Brighton & Hove Albion na
Arsenal.
13/05/2026
Msimu wa 2024/25, Phil Foden na Cole Palmer kwa pamoja walizalisha assist 10 kwenye Premier League.
Lakini msimu huu mpaka sasa? Wana assist π£4 tu pekee.π³
13/05/2026
Cristiano Ronaldo bado yupo kwenye mapambano makali sana ya kushinda kiatu cha mfungaji bora huko Saudia ila kazi ni ngumu sana.
Ili Cristiano Ronaldo abebe kiatu cha mfungaji bora wa Ligi Kuu Saudi Arabia, inahitajika afunge mabao 6 au zaidi kwenye mchezo wa mwisho dhidi ya Damac.
Wakati huo huo, Ivan Toney asifunge bao lolote, na JuliΓ‘n QuiΓ±ones asifunge zaidi ya mabao 2 kwenye mechi zao zilizobaki.
Mbaya zaidi, wote Ivan Toney na QuiΓ±ones bado wamebakiza mechi mbili kila mmoja.
13/05/2026
Huyo wa upande wa kushoto wa Ronaldo anaitwa Ali Lajami beki ambaye kwa sasa anaichezea Al Hilal, huyu jamaa kwenye mchezo wa jana aliingia dakika ya 69 kuchukua nafasi ya Hassan Altambakti.
Pamoja na makosa ya golikipa wa Al Nassr Bento ila huyu ndiyo aliyerusha ule mpira mpaka kupelekea Bento kuchanganyana na mabeki wake mpira ukaingia wavuni,kiufupi anarusha mipira sana.
Pia Ali ana pacha wake ambaye anaichezea klabu ya Al Taawoun na yeye pia ni beki na ndiyo huyo hapo upande wa kulia kwa Cristiano Ronaldo.
13/05/2026
π΄JUST IN!!! Klabu ya Paris Saint-Germain imeanza kufanya mawasiliano na watu wa karibu wa Federico Valverde kuhusu uwezekano wa kumsajili kwenye dirisha kubwa lijalo.
Via.
13/05/2026
Kutana na David Sanchez Miralles mwenye miaka 11, mmoja wa vipaji vinavyongβaa zaidi kwenye akademi ya Real Madrid kwa sasa.
Kinda huyo tayari amekamilisha zaidi ya dribbles 100+ kwenye mashindano ya LaLiga U-12, akionyesha uwezo mkubwa wa kucheza na mpira, kujiamini, na ubunifu wa hali ya juu.
Ni tishio kubwa kwenye safu ya ushambuliaji, anatengeneza nafasi kwa urahisi na kufunga mabao kwenye mechi zenye ushindani mkubwa.
Ni ishara ya nyota mkubwa wa baadaye.
13/05/2026
Sema mwenetu Neymar alijua kuwaibia maostadh kule Saudiaπ
Ukute haya masaibu anayokumbana nayo sasa hivi maostadh walifanya jamboπ
13/05/2026
Ukiachana na mkongwe David Beckham hakuna mchezaji aliyefunga mabao mengi ya mipira ya kutenga pale ligi kuu Uingereza kumzidi fundi π
ππ’ππ¨ πππ§π-ππ§π€π¬π¨π.
Huyu jamaa amefunga jumla ya mabao 17 akizidiwa na Beckham goli moja tu.
Kwasasa yuko Burnley akiwa amecheza michezo 18,hana goli hata 1 ila amebahatika kuasist goli 1 pia wameshuka daraja.
13/05/2026
Al-Nassr wanaweza kutwaa mataji 2 ndani ya saa 24 pekee.
β
οΈLigi: K**a Al-Hilal wakidondosha pointi dhidi ya Neom, basi Al-Nassr watatangazwa rasmi mabingwa wa Saudi Pro League.
β
οΈFainali ya Asian Champions League 2: Al-Nassr pia wanatarajiwa kucheza dhidi ya Gamba Osaka siku hiyo hiyo.
Safari hii wakikaza wanabeba mataji ila hapa kwa Al Hilal kudondosha pointiπ€
12/05/2026
Cristiano Ronaldo alibakiwa na sekunde 10 tu kutwaa taji lake la kwanza la ligi ndani ya miaka 6 lakini golikipa wake akajifunga bao la kujifunga dakika ya 98.
Matokeo hayo yanamaanisha Al Hilal bado wako kwenye mbio za ubingwa huku ikiwa imebaki mechi moja tu kwa Al Nassr wakati Al Hilal akiwa na michezo 2 ili ligi kutamatika.
Kwa sasa Al Nassr ana pointi 83 wakati Al Hilal akiwa na pointi 78.
βοΈAkikosa tena kombe la ligi awamu hii basi this man must be cursed in Saudiaπ