04/05/2026
Full time
FOLLOW LIKE COMMENT & SHARE
https://youtube.com/@makariuswilfredmuba-m6t?si=Efypvp5n65fO9Lgi
04/05/2026
Full time
04/05/2026
Ukitazama wakati mpira unatoka kwenye mguu wa Mpanzu tayari Chama alikuwa kwenye eneo la kuotea hvyo according to my VAR goli la Chama halikustahili kuwa goli kwaninilikuwa ni Offside
01/05/2026
Ulianza kuangalia Kombe la Dunia mwaka gani?
Gigy Money ndani ya usiku wa uzinduzi wa Vinjabei Bet. Historia imeandikwa leo ndani ya The Superdome Masaki.
30/04/2026
Jeshi la wanamaji la Pakistani kuongeza manowari za hali ya juu za China
Bonyeza kiungo kwenye maoni hapa chini ⬇️
30/04/2026
Mwaka 2004 lilitokea tukio hili la Golikipa Fabian Barthez kukojoa ndani ya Pitch wakati mechi ikiwa inaendelea.
Mwamba hakuwaza Wala nini yeye alitoa mtulinga na kuanza kukojoa muda huo mashabiki wakiwa wanatazama na mwamba Wala hakujali.
Pamoja na hayo mwamuzi alimuonesha KADI nyekundu 🟥 na kutoka mchezoni lakini sio Kwa tukio la kukojoa kwenye pitch ni kwakosa jingine...
Goal Insight
FOLLOW US.
30/04/2026
BREAKING 🔴: Kocha Jürgen Klop amekataa ofa ya Frolentino Perez Ili awe kocha mkuu wa klabu ya Real Madrid C.F. kuanzia msimu ujao.
Kocha Jürgen Klop yupo kwenye mazungumzo na shirikisho la mpira wa miguu nchini Ujerumani 🇩🇪 (DFB) Ili aje kuwa Kocha mkuu wa timu ya taifa hilo.
source: [ Diario AS ]
Goal Insight
FOLLOW US.
30/04/2026
Onyesho la nusu fainali ya Kombe la Dunia linaweza kuchukua dakika 30.
Onyesho linalowashirikisha wasanii wengi linatarajiwa na viwanja na vifaa mbalimbali vitalazimika kujengwa na kubomolewa.
Kombe la dunia k**a mwaka itakuja na bwebwe nyingi ni vile tu Iko marehemu.
Nchi ambazo Marekani haiwezi kuzivamia.
21/04/2026
Waziri wa mambo ya ndani wa Urusi awasili Korea Kaskazini kwa mazungumzo
Wananchi mnaikumbuka hii