20/08/2026
Leo hajafunga ila alionekana kuwa mwenye furaha na alikuwa mstari wa kwanza kushangilia magoli ya wenzake.
Lengo mama ni timu kushinda kabla ya mfanikio binafsi…..Shasha anaipambania Nembo ya Yanga 🙌
20/08/2026
Singida Black Stars wamemrejesha Mchezaji wao Mohamed Damaro baada ya mkopo wake wa miezi 6 na Yanga kuisha.
20/08/2026
Hakuna Clean Sheet kwa Diarra katika mechi 2 mfululizo!!
Wagosi wanapata bao 1😉
20/08/2026
Tayari huko FVS imefanya yake na Geofrey Manyasi Captain wa Coastal Union anatolewa nje kwa Kadi nyekundu
20/08/2026
🎉 Facebook recognized me as a consistent post creator this week!
20/08/2026
Mchezaji Ibrahim Jabaar kupitia Insta story yake amekiri kosa na kudai hana sababu ya kujitetea bali amekubali kuwajibika na huo ndio Mpira wa miguu na hiyo ndio maana ya kuwa Mchezaji wa Kimataifa, hatafuti CHAKA la kujificha bali kukiri na kuwajibika.
19/08/2026
Huyu Chilambo mmemzingatia vizuri kule shavu la Kulia namna ametulia huyu Mngoni? Top top top performance kutoka kwake.