26/04/2026
Gsm Jogging Club
turn on post notification for health and wellness tips to improve your health life
26/04/2026
Gsm Jogging Club
Getting in shape isn’t complicated…
People just don’t like how simple it really is.
It’s the same basic habits
done over and over.
Try this routine on Triceps Day its real amaizing.
08/04/2026
The biggest fitness secret:
doing the basics longer than everyone else.
The problem is not knowledge but The lack of patience.
07/04/2026
IF IT'S TO EASY TO PERFORM FORGET ABOUT IT
Celebrating my 7th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉
20/04/2025
Sometimes looking for consistency is better than looking for perfection. Keep going, keep pushing better days for you are coming.
17/04/2025
Kinachokusababisha usipate matokeo kwenye mazoezi ni kupuuzia mambo haya ya msingi.
1. Hutaki kufuata maelekezo ya wataalamu
2. Huna utaratibu kabisa wa mazoezi
3. Huna ratiba maalumu ya mazoezi
4. Unataka matokeo ya haraka
5. Huupi mwili muda wa kupumzika
6. Huzingatii kabisa kuhusu Lishe
7. Huzingatii kabisa muda wa kulala
8. Hunywi maji ya kutosha
9. Hutaki kuacha lifestyle uliyonayo sasa
10. Hutaki kubadili aina ya Mazoezi.
BADILIKA
15/04/2025
Hatupaswi kuyaona mazoezi k**a jambo la watu fulani au mazoezi yapo kwa ajili ya kundi fulani la watu k**a ilivyo kula, kunywa, kutafuta vipato ndivyo ilivyo kwenye mazoezi pia.
Ungana na familia ya katika kujenga mahekalu ya Mungu kwa mazoezi na mafundisho ya kiafya kutoka kwa wataalamu mbalimbali kuwa karibu na page zetu kuhakikisha kuwa hupitwi na taarifa muhimu za wapi na lini mazoezi yatafanyika.
Asante
Na kwa kuhaikisha hydration iko katika hali ya msawazo.
26/03/2025
Karibu kwenye Push-up challenge group. Lengo ni kuongeza uwezo wetu wa push up na mazoezi kiujumla. Tutaanza na Push up 10 kwa mkupuo , na kila siku tutakuwa tukiongeza PUSH UP mbili mbili mpaka tufike PUSH UP 100 kwa mkupuo. 🔥🔥
Kila mtu atatuma video yake akifanya push up kulingana na idadi ya hiyo siku. Tunaanza Tarehe 26/3/2026 kwa PUSH UP 10.
K**a uko tayari nitumie namba yako DM nikuunge kwenye group 💥💥
UNAWEZA KUSHARE KWENYE GROUPS NYINGINE AU STATUS.
24/03/2025
Mazoezi ya mara kwa mara ni muhimu kwa afya ya mwili na akili. Yanasaidia kuboresha mifumo mbalimbali mwilini ikiwemo:-
➡️Kinga ya mwili,
➡️Kuongeza na kuimarisha nguvu
➡️Mifumo ya moyo na mapafu.
Pia, mazoezi husaidia kupunguza hatari ya magonjwa k**a vile
➡️Kisukari,
➡️Shinikizo la damu, na
➡️Unene kupita kiasi.
Kwa upande mwingine, mazoezi huchangia katika kuboresha
➡️Hali ya mood,
➡️Kupunguza mkazo na wasiwasi, na ➡️Kuongeza kiwango cha usingizi bora.
Hivyo, kufanya mazoezi mara kwa mara ni njia nzuri ya kuhakikisha afya bora na maisha marefu yenye furaha.
Kwa msaada wa namna ya kuanza na kuimarisha afya yako kupitia mazoezi unaweza kuwasiliana nami kwa kutuma ujumbe DM wenye neno MAZOEZI
Manye Kiongoz
Please unaweza kushare post hii ili iwafikie na wengine.
17/03/2025
Tunapokutanika kuandaa mahekalu kwa njia ya mazoezi sio tu inatia moyo wa kuendelea kuwa na matumaini bali inaamsha pia hali ya kuzidi kuwafikia wengine na kuwakumbusha umuhimu wa afya ya mwili kwa manufaa yao ya baadae.
Ungana nasi wakati mwingine kufanya mazoezi ya pamoja.