14/05/2026
🚨 𝗥𝗔𝗦𝗠𝗜: Hiki ndicho kikosi cha Ufaransa cha Kombe la Dunia 2026 🇫🇷💫
Kolo Muani ❌
Eduardo Camavinga ❌
Soma Makala Za Wachezaji/Matukio ⚽️
Rekodi Mbalimbali Za Kimichezo/ Future Star Players. Taarifa Za Michezo/Usajiri. ✅ ALL ABOUT FOOTBALL
14/05/2026
🚨 𝗥𝗔𝗦𝗠𝗜: Hiki ndicho kikosi cha Ufaransa cha Kombe la Dunia 2026 🇫🇷💫
Kolo Muani ❌
Eduardo Camavinga ❌
14/05/2026
🚨☺️Baada ya kumalizika kwa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG) inakusudia kuanzisha mazungumzo rasmi na Atlético Madrid kuhusu uwezekano wa kumsajili Julián Álvarez, mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina.
14/05/2026
Rasmi: Orodha ya wachezaji wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora Wa Msimu EPL 2025/2026:
Bruno Fernandes
Gabriel
Morgan Gibbs-White
Erling Haaland
David Raya
Declan Rice
Antoine Semenyo
Igor Thiago
Nani Anastahili Hii Tuzo ?
Top 5 ya Panenka Zilizofeli Vibaya Zaidi Duniani
13/05/2026
✅🏆Arsenal wakibeba ubingwa wa Epl msimu huu Crystal Palace watapata kiasi kisichopungua £10m kwasababu ya Eze
Crystal Palace wana Game na Manchester City leo na watamaliza na Arsenal
13/05/2026
🇫🇷🤯 Nafasi alizocheza 𝗦𝗘𝗡𝗡𝗬 𝗠𝗔𝗬𝗨𝗟𝗨 (19) chini ya Luis Enrique…
“all-rounder” ina maana ya mchezaji anayeelezwa kuwa “flexible” – anaweza kucheza katika nafasi nyingi tofauti kwenye timu bila kupungua ubora.
TOP 5 Ya Mastaa wa Soka Waliostaafu Bila Kombe la UEFA Champions League.
12/05/2026
OFFICIAL 🔴: Nicco William Jr atakuwa nje Kwa kipindi chote Cha msimu kilichosalia baada ya kupata jeraha baya kwenye mchezo uliopita.
Lakini anatarajiwa kuwa timamu kutumika kwenye mashindano ya Kombe la Dunia akiwa na kikosi Cha timu ya taifa ya Spain 🇪🇦 chini ya Kocha Luis Dela Fuentes.
Goal Insight
FOLLOW US.
12/05/2026
✅💔Ben White ataikosa fainali ya UEFA Champions League na pia hatashiriki katika mechi zijazo za Arsenal hadi mwisho wa msimu.
Nyota huyo wa Uingereza amepata jeraha la goti, na anatarajiwa kufanyiwa uchunguzi zaidi wa kitabibu (medical assessments) ili kubaini kiwango cha jeraha lake na muda wa kupona.
Matokeo ya vipimo hivyo ndiyo yatakayothibitisha k**a ataweza kujumuishwa kwenye kikosi cha Kombe la Dunia au la. 💔⚽
12/05/2026
🚨 BREAKING: Dani Carvajal hayupo Kwenye kikosi cha Hispania kwa ajili ya Kombe la Dunia.
Amechwa Kwenye orodha ya awali ya wachezaji 55 walioteuliwa na Luis de la Fuente. 💔🇪🇸
Mwisho wa enzi.
12/05/2026
"Hivi kwenye French league 1, Dembs kacheza hata mechi 25 kweli? Kaanza hata mechi 15 kweli? Then how? I think pale league 1 kuna watu walistahili hii tuzo zaidi yake."
Je Yupo Sahihi na k**a yupo sahihi nani alistahili hii tuzo ?