Tom Cruz

Tom Cruz

Share

Sports reporter / pundit

25/05/2023

... Ligi inayolipa pesa nyingi zaidi Afrika ni DSTV Premiership. Hizi ndizo pesa wanazopokea top four 2023 πŸ‡ΏπŸ‡¦

1. πŸ’΅ R 15 m - Tsh 1.8+ Billion
2. πŸ’΅ R 07.5 m - Tsh 919+ Million
3. πŸ’΅ R 03.7 m - Tsh 459+ Million
4. πŸ’΅ R 01.5 m - Tsh 183+ Million

25/05/2023

Usajili unaendelea ....

Unadhani baada ya Oscar Oscar nani anafuata katika usajili Wasafi fm Radio ?!

Photos from Tom Cruz's post 24/05/2023

... 🚨

Takwimu za wana fainali wa CAFCC !

YANGA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ πŸ‡©πŸ‡Ώ USM
```````````````````````````````````````````````````
10 ............... Michezo .................. 10
15 ........ Magoli ya kufunga .......... 17
05 ........ Magoli ya kufungwa ....... 08
47 ........... Shot on target .............. 40
06 ............ Cleansheets ................ 05
77% ..... Passing accuracy .......... 72%
3,204 ... Successful Passes ..... 2,515

Cc

24/05/2023

... 🚨 Kwa mujibu wa kanuni mpya, mchezo wa ngao ya jamii utachezwa na timu nne.

βœ… Young Africans
βœ… Simba SC
βœ… Azam FC
βœ… Singida Big stars

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam