01/03/2026
π°πππππππππ°
π
π Simba SC
ποΈ 01 March 2026
ποΈ Amaan Complex
β±οΈ 02:15 Usiku
@masesason 0780881280
[email protected]
01/03/2026
π°πππππππππ°
π
π Simba SC
ποΈ 01 March 2026
ποΈ Amaan Complex
β±οΈ 02:15 Usiku
conference
21/02/2026
ππππππ¬
"Kwanza kabisa napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa watu wote waliotupokea tangu tulipowasili. Mapokezi tuliyopata tangu tulipotua hadi kufika hapa yalikuwa mazuri sana na yametugusa kila mmoja wetu. Ninaamini kila mtu ana hamasa kubwa kuelekea mchezo wa kesho na nguvu hiyo tuliyopewa inatupa motisha kubwa" Pedro Goncalves
21/02/2026
"Kwa bahati mbaya tuna baadhi ya wachezaji wenye majeraha ambao hawakuweza kuja na timu;
β’ Aziz alipata majeraha kidogo, bado tunaendelea kufuatilia hali yake lakini tuna matumaini si tatizo kubwa.
β’ Edmond pia ana majeraha aliyopata wiki iliyopita huenda akarejea mazoezini baada ya siku chache.
β’ Pacome alipata maumivu baada ya kugongana na kipa katika mchezo uliopita, hivyo hayuko katika hali nzuri kwa sasa.
β’ Kibwana na Mshery pia ni wagonjwa na hakuweza kusafiri.
β’ Dube alikuwa na tatizo la kiafya wakati wa mazoezi.
β’ Mzize anaendelea vizuri huku akipata uangalizi wa umakini kabla hajarejea tena kuwa nasi.
Hata hivyo, wachezaji waliopo watafanya kila wawezalo kusaidia timu kupata alama tatu kesho" Coach Pedro
21/02/2026
Upendo wa Wananchi Nachingwea kwa Rais wa Klabu yetu πππ½
21/02/2026
Hakuna kupoa mpaka kieleweke, tumefanya mazoezi kwajili ya mchezo wetu wa keshoπ₯
21/02/2026
Muwe na usiku mwema wote
21/02/2026
"Kwa niaba ya Wachezaji wenzangu tumejiandaa vizuri na mchezo wetu wa kesho⦠na hakuna kingine zaidi ya kupambania kupata alama 3.
Tumeona mapokezi Makubwa ya mashabiki wetu na yametuongezea hamasa kubwa ya kupambana kesho hivyo basi nichukue fursa hii kuwaomba sana Mashabiki wetu kuja Uwanjani kwa wingi kesho" Masalanga
21/02/2026
RUANGWAβοΈ