19/02/2026
HATUCHEZI REMIX?
Klabu ya Simba inapanga kukataa kwenda Zanzibar kwa sababu ALI KAMWE alitangaza kwanza kabla ya Bodi na muda haupo kikanuni.
SIMBA amebadilishiwa mechi 7 ndani ya siku 7 kabla ya mchezo uwanja.
Kuna mechi na Tabora United Siku 3 kabla Uwanja ukabadilishwa.Je huyu Mzee wa Transformation hakujua kuwa Kuna Siku 21?
NLIWAAMBIA HAWA HAWAWEZI KWENDA ZANZIBAR ULE UWANJA WALIULAANI KABLA NA BAADA YA MECHI NA BERKANE.
Na haitatokea Ule uwanja ukawapa matokeo Simba mazuri mpaka wauombe Msamaha.Mapinduzi keshapigwa pale na Azam Tayari anzeni kuhesabu.
π₯π₯ππ
19/02/2026
WATAKA KULA NYOYA π€£π€£
Uongozi wa Simba SC umeiandikia barua Bodi ya Ligi (TPLB) eti wanahoji kwanini taarifa ya kuhamisha uwanja kwenda Amaan imetolewa kwanza na Afisa Habari wetu, Ali Kamwe! Eti wanadai Bodi ilichelewa kutoa taarifa rasmi mpaka tarehe 16 wakati Kamwe alishamaliza kazi tarehe 15.
Kibaya zaidi, eti wanajifanya wanajua sana kanuni za siku 21 sasa hivi. Ukweli ni kwamba mnaogopa Guantanamo Bay siyo? π
11/02/2026
Heri ya maadhimisho ya miaka 91 ya Klabu ya Young Africans Sports Club.
Miaka ya heshima, mafanikio na historia adhimu.
07/02/2026
Watu washaanza kuloa hukoππ€£π€£π€£ moyaaaaa
07/02/2026
Vipi mwenenu hana Taarifa kabisa za migogoro ya Simba SC Tanzania hadi Sasa eeehπ
Lakini ya singida black stars sc na Young Africans Sports Club yupo Tayari hata atunge uongo ili asinyimwe Kodi
07/02/2026
π°πππππππππ°
π
π AS Far
ποΈ 07 February 2026
ποΈ Stade olympique de Rabat
β±οΈ 02:00 Usikuπ²π¦ | 04:00 UsikuπΉπΏ
05/02/2026
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC, Murtaza Mangungu, amesema hana mpango wa kuachia nafasi yake ya uongozi licha ya changamoto mbalimbali zinazoikabili klabu hiyo kwa sasa.
Mangungu ameeleza kuwa anaendelea kushika wadhifa huo kwa sababu wanachama na viongozi waliompa dhamana ya kuiongoza Simba bado wanamuamini na wanampa ushirikiano katika kutekeleza majukumu yake.
Amesema akiwa k**a kiongozi, anatambua uwepo wa changamoto ndani ya klabu, lakini ameahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii kuhakikisha Simba inazidi kupiga hatua na kurejesha mafanikio yaliyotarajiwa na mashabiki pamoja na wanachama wa klabu hiyo.
Aidha, Mangungu amesisitiza kuwa uongozi wake utaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa klabu ili kuhakikisha malengo ya maendeleo ya Simba yanafikiwa, huku akiwataka mashabiki kuendelea kutoa ushirikiano na sapoti kwa timu yao.
Kauli ya mwenyekiti huyo inakuja katika kipindi ambacho kumekuwa na mijadala miongoni mwa mashabiki kuhusu mwenendo wa timu pamoja na uongozi wa klabu hiyo.
05/02/2026
Mangungu apepeweπͺπͺπͺ
Mwamba anajibu kisurtan kabisa ambao walidhani anajiudhuru kimewalamba