25/11/2022
Focus ⚽⚽⚽
Zone Veterans Ni kikundi cha hiari chenye Lengo la kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijami
25/11/2022
Focus ⚽⚽⚽
07/07/2022
Next game Vs Malambamawili Veterans 10/7.. Uwanja wa Zone Msigani
07/07/2022
Captain Allen akiwa na Bruno Fernandez beki wa mpira, Leo wameingoza Zone Veterans kwenye ushindi wa goli 7-2 dhidi ya ndugu zetu Family Friends.
07/07/2022
07/07/2022
Allen,Manyuka, Danny & Orah ⚽⚽⚽⚽
07/07/2022
Manyuka & Oppa ⚽⚽⚽
20/02/2022
Allen Kinyaiya Teacher amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa week, Allen amefunga goli moja na kutoa pasi mbili za magoli.Kama ilivyo kawaida yetu tumempa zawadi ya pea moja ya viatu k**a chachu ya kuendelea kufanya vizuri.
Hongera Teacher
20/02/2022
Yeesss! Mapema leo tulifanikisha zoezi letu la kila jumapili kuweka miili yetu sawa.Hakika limefanikiwa kwa asilimia mia.Tuwaambie tu wapinzani wetu watakao hitaji mechi na sisi wajipange
21/04/2019
14/04/2019
Mambo yakizidi kupamba moto kuelekea siku ya pasaka, Mambo kadhaa yaliafikiwa ikiwiemo kumpendekeza mgeni wetu rasmi wa siku hiyo pamoja na kuupokea muhuri wa kikundi na tulihitimisha kwa kupanga bajeti ya ya siku hiyo... Shukurani kwa father Mwita, Mr Maembe, Mwanasheria Deco,Kiungo mkongwe Shiraz,Ollah,John,pamoja na Mzee mwenye location zake Flava..
12/04/2019
Mipango,mikakati pamoja na michango juu ya uzinduzi wa jezi zetu mpya zitakazozinduliwa siku ya sikukuu ya pasaka ukiendelea chini ya kiongozi wetu ndugu Shiraz Hamis Mkwizu Jr..