28/01/2026
caf champions league wiki hii🔥
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from KAPU La Michezo, Sports Event, Dar es Salaam.
28/01/2026
caf champions league wiki hii🔥
13/01/2026
𝐒𝐓𝐀𝐑 𝐁𝐎𝐘 amefika⭐️👦🏾
11/01/2026
😃🤣🤣🤣
26/12/2024
🚨_|| Mchezaji YANNICK BANGALA kupitia mahojiano yake na Azam TV ametaja kikosi bora kwenye ligi kuu ya Tanzania 🇹🇿.
BANGALA AMESEMA KWENYE KIKOSI HICHO YEYE KOCHA🤣😂
KIKOSI BORA CHA YANNICK BANGALA
1.DJIGUI DIARA 🇲🇱
2.LUSAJO MWAIKENDA 🇹🇿
3.MOHAMMED HUSSEIN 🇹🇿
4.FUENTES MINDOZA 🇨🇴
5.DICKSON JOB 🇹🇿
6.KHALID AUCHO 🇺🇬
7.PACOME ZOUZOUA 🇮🇪
8.FEISAL SALUM 🇹🇿
9.PRINCE DUBE 🇿🇼
10.AZIZ KI 🇧🇫
11.GIBRIL SILLAH 🇬🇲
BENCHI
1.IBRAHIM BACCA
2.MAXI NZENGELI
3.SIDIBE
4.FABRICE NGOMA
5.MOUSTAPHA MOHAMMED
KAPU La MichezoKAPU La Michezo
26/12/2024
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kupitia K**ati yake ya Nidhamu, limetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Shirikisho la soka la Guinea (FGF) kufuatia kushindwa kwao na Tanzania katika siku ya mwisho ya mchujo ya kusaka tiketi ya kufuzu AFCON 2025..
Guinea iliangazia ukiukwaji wa taratibu za kiuchezaji kuhusu beki Mtanzania Muhamed Ibrahim Ame, ambaye inadaiwa alicheza na nambari ya jezi ambayo haijaorodheshwa kwenye karatasi rasmi ya mechi.
Shirikisho hilo pia linapanga kukata rufaa kwa mujibu wa kifungu cha 54 hadi 58 cha kanuni za nidhamu za CAF.
Katika mchezo huo wa mwisho,Tanzania iliichapa Guinea bao 1-0 mtanange ambao ulipigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam.
KAPU La Michezo
26/12/2024
Vinara wa mabao katika Ligi Kuu ya Nbc 🇹🇿 2024-25 hadi sasa
🇰🇪 Elvis Rupia: 8️⃣
🇨🇮 Jean Ahoua: 7️⃣
🇹🇿 Seleman Mwalimu: 6️⃣
🇿🇼 Prince Dube: 5️⃣
🇨🇲 Lionel Ateba: 5️⃣
🇹🇿 Clement Mzize: 5️⃣
🇺🇬 Peter Lwasa: 5️⃣
🇹🇿 William Edgar: 5️⃣
Matajiri wa Jiji la Dar es salaam wako wapi?
KAPU La Michezo upKAPU La Michezo
19/12/2024
K**a mshambuliaji wako anafunga magoli ya Penalti Usiongeee kitu, 𝐊𝐀𝐀 𝐊𝐈𝐌𝐘𝐀 😀🙌🏽
19/12/2024
MANENO HAYA SIYO MAGENI HAPA MJINI
KAPU La Michezo
🚨....|| BREAKING
➡️ Tanzania Prisons imesitisha mkataba wa Kocha Mkuu Mbwana Makata kutokana na mwendelezo wa matokeo yasiyoridhisha kwenye Ligi tangu alipopewa majukumu ya kuiongoza timu hiyo ya Jeshi la Magereza.
➡️ Kocha Shaban Kazumba na Shaban Mtupa ndio wataongoza jahazi la Tanzania Prisons kwa sasa wakati mipango ya kupata kocha mwingine ikiendelea.
La Michezo
17/12/2024
📝 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈: Baada ya kukosa tuzo ya Ballon d'Or, Winga wa Real Madrid, Vinicius Jr imeshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa FIFA katika hafla ya tuzo hizo inayofanyika mjini Doha, usiku huu.
Utaratibu wa utoaji wa tuzo hiyo umezingatia kura za makocha 196 wa timu za Taifa, manahodha 193 wa timu za Taifa, waandishi wa Habari na mashabiki ambapo kila upande umechangia asilimia 25 za kura zote.
Katika hafla hiyo tuzo ya kocha bora wa mwaka wa FIFA imekwenda kwa Carlo Ancelotti huku Emi Martinez akitwaa tuzo ya golikipa bora wa mwaka (Martinez sasa ametwaa tuzo mbili za FIFA na mbili za Ballon D'or
Vilevile tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kwa Wanawake imekwenda kwa Aitana Bonmati huku Alejandro Garnacho wa Manchester United akitwaa tuzo ya goli bora la mwaka ( Puskas Award )
KAPU LKAPU La Michezo