Hahaaa is there any one to make translation?
Home of fitness Gym
we do Aerobic classes, medicisege and wright lifting. Welcome all.
18/04/2026
This rain season is really sweet
To be fit is an on going process you ha e to be patient
Hili chama lilikuwa hatari sana kazi kazi 2 hrs k**a half an hour tu
We can fix even this mountain believe it.
15/01/2022
Wakuu mnakumbuka
22 January 2022
Tuna Jambo letu?
Karibuni sana
01/12/2021
Maboresho makubwa yako karibu kukamilika
Muda wa Gym kuwa wazo pia utabadilika tutafungua saa 12 asb Hadi saa 3 usiku. Karibuni tuimarishe afya zetu za mwili na akili.
Mazoezi - Afya
Mazoezi - Tiba
Mazoezi - Pamoja tunaweza.
Leo 27/01/2020Tulikuwa na Kikao baada ya Zoezi HOFGym
Kiliongozwa na M/Kiti
Tulianza kwa Dua kuwaombea Marehemu kwa misiba iliyotekea hivi Karibuni 🙏
M/Kiti alianza kutoa Taarifa Kuhusu:-
(1)Vifaa vya Gym
Kuongeza vifaa vya Gym kwa mfano Carpet, Steps (vibao) n.k
(2) Safari ya Muheza
Kuna mualiko toka Muheza Jogging & Sports kipindi cha Pasaka (Easter)
Kuchangia kwa Safari hii ni Sh.50,000/-
Ili isaidie usafiri wa Kwenda na Kurudi (Dar - Muheza - Dar) na Safari za ndani (Tour)
(3)ADA
Utoaji Ada umeonyesha si mzuri
Report toka Mwekahazina imeonyesha toka amepokea Nafasi hiyo August 2019 mpaka December 2019 imeonyesha kuna limbikizo la Malipo (deni) Sh. 1.2 million (ada ambazo yazijalipwa)
Mikakati
Kuunda k**ati ya Fedha ambayo itasimamiwa na
Jaffar, Magembe na Latifa
Kutakuwa na aina mbili za utoaji ADA
(a) Utoaji wa Mwezi Sh.20,000/-
Na (b) Utoaji wa Siku Sh.2,000/-
Pia M/Kiti amesisitiza
Nwana Gym yeyote ambae hajalipa Ada ya January Sh.20,000/- alipe kabla ya Tarehe 01/02/2020 pamoja nakuwa na Madeni
Kwasababu Mfuko wetu unahali Mbaya
Kwenye kikao swala Ada limechangiwa Sana
Tubadilike ADA ndiyo Uhai wa Gym
Pia kulikua Swala la Jezi
Kuna Sampuli (sample) zitatumwa ili tuchague
Kuna k**ati zimeundwa
Ukiacha ya Fedha
Kana Kamati ya Nidhamu hii itakua chini ya Mwenyekit
Adv. Mulamula , Dr. Gwao & Mh. Fatuma
Pia Kuna Kamati 🤷♂🤷♂ Katibu utaiweka vizuri
Itakua inashughulikia Vifaa vya Gym, Walimu & others
Kwasababu kuna mpango wa kila wiki kuwa na Mwl. toka Nje
Itaongozwa na Dr. Gwao & Mrs Rabia Gwao na wengine watatu (3) atakao wapendekeza Dr.
Pia sasa tutakuwa tunaanza Mazoezi kwa DUA 🤲
Watu wote tumepata Nafasi ya Kuchangia
Mwisho M/Kiti mstaafu alimalizia kwa kututakia UPENDO
🌠 Good Night
07/01/2020
Kazi imeanza baada ya mapumziko za mwisho wa mwaka karibuni tukamue.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Website
Address
Mbezi Luis
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 04:00 - 20:00 |
| Tuesday | 04:00 - 20:00 |
| Wednesday | 04:00 - 20:00 |
| Thursday | 16:00 - 20:00 |
| Friday | 04:00 - 20:00 |