Tanzania Professional Boxing Regulatory Commission

Tanzania Professional Boxing Regulatory Commission

Share

TPBRC is a sole professional boxing regulating body in Tanzania. The Commission is registered by the

01/01/2026

Pamoja Tunaingia 2026— Tukiunganishwa na Nidhamu, Heshima na Upendo kwa Mchezo wa Ngumi. Mwaka Huu Ulete Mabingwa Zaidi Ndani na Nje ya Ulingo

09/12/2025

Heri ya Miaka 64 ya Uhuru!
Leo tunasherehekea amani, umoja na safari ya maendeleo ya Tanzania.
Tuiendeleze nchi yetu kwa uchapa kazi, matumaini na mshikamano.
Mungu ibariki Tanzania. 🇹🇿

23/11/2025

TPBRC inatambua juhudi na ujasiri wa Pius Mpenda. Umeonesha moyo wa kupigania taifa na nidhamu inayojenga mabingwa wa kweli. Endelea kusimama imara mwelekeo wako ni juu, na safari yako bado ina nafasi kubwa ya kuandika historia.

23/11/2025

TPBRC inatoa heshima kwa Lupakisyo Shoti kwa kuonesha kiwango cha juu cha ushupavu na malengo thabiti. Ushindi wako ni hamasa kwa mabondia wote wa Tanzania. Endelea kuwa mfano wa nidhamu, bidii na mwanga wa mafanikio kwa kizazi kijacho

18/11/2025

🥊 Ratiba ya Mapambano Hii Hapa!
Wiki hii mabondia wetu hawana masihara kabisa—kila mmoja anajiandaa “kufuta dharau” ndani ya ulingo.
Mashabiki, tumieni wiki hii kuandaa koo… makelele tutayahitaji! 😂🔥

18/11/2025

Ratiba Fights zilizo mbele yetu kumalizia Mwezi November

18/11/2025

Pongezi za dhati kutoka TPBRC! 🥊🇹🇿

Tunawapongeza kwa moyo mkunjufu viongozi wetu wapya katika Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Uteuzi huu ni ishara ya imani kubwa kwao na dira mpya kwa maendeleo ya michezo nchini.

Tunawatakia utumishi uliobarikiwa, wenye tija na mafanikio kwa taifa letu. TPBRC tuko tayari kushirikiana nanyi kuinua ngumi za kulipwa na kuibua vipaji vipya nchini. 🙌✨

Photos from Tanzania Professional Boxing Regulatory Commission's post 15/11/2025

Kikao Maalum cha Wadau wa mchezo wa Ngumi za kulipwa Tanzania leo Nov 15 Wamekutana katika Ofisi za TPBRC Ilala Mafao House,
Jijini Dar es salaam
kujadili rasimu ya katiba mpya pendekezi
Wadau hao ni pamoja na Chama cha Waamuzi,Chama cha mabondia,Chama cha makocha,Chama cha Mapromota,Chama cha Wauguzi Michezoni,Wanahabari,Wahudumu wa Ulingo na Wadau wa Ngumi

20/10/2025

Kutoka Kwenye Kona Hadi Ushindi — Endelea Kupambana hatukati tamaa

16/10/2025

Mchezo wa ngumi si ugomvi — ni nidhamu, akili, na heshima 🥊
Tunapambana ndani ya ulingo, si mtaani 💪

14/10/2025

“Michezo ni zaidi ya ushindi – ni darasa la uzalendo, nidhamu na umoja.” 🥊🇹🇿
– Mwalimu Julius K. Nyerere

Tunamkumbuka Baba wa Taifa miaka 26 tangu atutoke, tukienzi falsafa yake ya kujenga taifa lenye nidhamu, utu na mshikamano kupitia michezo.
Kwa maneno yake, “Elimu ni pamoja na maendeleo ya mwili, akili na roho.”
Hivyo, michezo si burudani tu — ni sehemu ya kujenga kizazi chenye heshima, afya na maadili.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address


Ilala Sokoni Uhuru Street
Dar Es Salaam
99608

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00