01/01/2026
Pamoja Tunaingia 2026— Tukiunganishwa na Nidhamu, Heshima na Upendo kwa Mchezo wa Ngumi. Mwaka Huu Ulete Mabingwa Zaidi Ndani na Nje ya Ulingo
TPBRC is a sole professional boxing regulating body in Tanzania. The Commission is registered by the
01/01/2026
Pamoja Tunaingia 2026— Tukiunganishwa na Nidhamu, Heshima na Upendo kwa Mchezo wa Ngumi. Mwaka Huu Ulete Mabingwa Zaidi Ndani na Nje ya Ulingo
09/12/2025
Heri ya Miaka 64 ya Uhuru!
Leo tunasherehekea amani, umoja na safari ya maendeleo ya Tanzania.
Tuiendeleze nchi yetu kwa uchapa kazi, matumaini na mshikamano.
Mungu ibariki Tanzania. 🇹🇿
23/11/2025
TPBRC inatambua juhudi na ujasiri wa Pius Mpenda. Umeonesha moyo wa kupigania taifa na nidhamu inayojenga mabingwa wa kweli. Endelea kusimama imara mwelekeo wako ni juu, na safari yako bado ina nafasi kubwa ya kuandika historia.
23/11/2025
TPBRC inatoa heshima kwa Lupakisyo Shoti kwa kuonesha kiwango cha juu cha ushupavu na malengo thabiti. Ushindi wako ni hamasa kwa mabondia wote wa Tanzania. Endelea kuwa mfano wa nidhamu, bidii na mwanga wa mafanikio kwa kizazi kijacho
18/11/2025
🥊 Ratiba ya Mapambano Hii Hapa!
Wiki hii mabondia wetu hawana masihara kabisa—kila mmoja anajiandaa “kufuta dharau” ndani ya ulingo.
Mashabiki, tumieni wiki hii kuandaa koo… makelele tutayahitaji! 😂🔥
18/11/2025
Ratiba Fights zilizo mbele yetu kumalizia Mwezi November
18/11/2025
Pongezi za dhati kutoka TPBRC! 🥊🇹🇿
Tunawapongeza kwa moyo mkunjufu viongozi wetu wapya katika Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Uteuzi huu ni ishara ya imani kubwa kwao na dira mpya kwa maendeleo ya michezo nchini.
Tunawatakia utumishi uliobarikiwa, wenye tija na mafanikio kwa taifa letu. TPBRC tuko tayari kushirikiana nanyi kuinua ngumi za kulipwa na kuibua vipaji vipya nchini. 🙌✨
15/11/2025
Kikao Maalum cha Wadau wa mchezo wa Ngumi za kulipwa Tanzania leo Nov 15 Wamekutana katika Ofisi za TPBRC Ilala Mafao House,
Jijini Dar es salaam
kujadili rasimu ya katiba mpya pendekezi
Wadau hao ni pamoja na Chama cha Waamuzi,Chama cha mabondia,Chama cha makocha,Chama cha Mapromota,Chama cha Wauguzi Michezoni,Wanahabari,Wahudumu wa Ulingo na Wadau wa Ngumi
20/10/2025
Kutoka Kwenye Kona Hadi Ushindi — Endelea Kupambana hatukati tamaa
16/10/2025
Mchezo wa ngumi si ugomvi — ni nidhamu, akili, na heshima 🥊
Tunapambana ndani ya ulingo, si mtaani 💪
”
14/10/2025
“Michezo ni zaidi ya ushindi – ni darasa la uzalendo, nidhamu na umoja.” 🥊🇹🇿
– Mwalimu Julius K. Nyerere
Tunamkumbuka Baba wa Taifa miaka 26 tangu atutoke, tukienzi falsafa yake ya kujenga taifa lenye nidhamu, utu na mshikamano kupitia michezo.
Kwa maneno yake, “Elimu ni pamoja na maendeleo ya mwili, akili na roho.”
Hivyo, michezo si burudani tu — ni sehemu ya kujenga kizazi chenye heshima, afya na maadili.
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |