20/03/2023
Klabu ya soka ya Singida Big Stars leo Machi 20, 2023 imeingia makubaliano na Klabu ya US Monastir ya Tunisia kwa ajili ya kushirikiana masuala mbalimbali ya soka.
Katika makubaliano hayo yaliyowekwa saini jijini Dar es Salaam, yatagusa mambo ya kiutawala ambapo klabu ya Us Monastir watawapa Singida Big Stars uzoefu wa masuala ya uendeshaji, maandalizi ya msimu (Pre-Season) ambapo klabu ya Singida Big Stars itakuwa ikiweka kambi nchini Tunisia.
Makubaliano hayo pia yatagusa wachezaji wa timu kubwa na ile ya U20.
16/03/2023
Msanii wa Nigeria Burna Boy ametangazwa kuwa ndiye atakaye fanya show kwenye sherehe za ufunguzi kwenye mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UCL) itakayofanyika Juni 10, 2023. Istanbul nchini Uturuki. Mkurugenzi wa masoko wa Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA, Guy-Laurent Esptein amethibitisha.
Msimu uliopita mwanamuziki Camila Cabello ndiye alifanya show, ambayo hufanyika dakika 10 kabla ya mchezo huo wa fainali kuanza.
16/03/2023
Kwa mujibu wa taarifa, kipa kinda wa Chelsea, Gabriel Slonina amekuwa akipambana sana na kufanya mazoezi kwa bidii.
Kwa mujibu wa taarifa nyota huyo amejiwekea ratiba ya kulala saa nne usiku na kuamka saa moja asubuhi kila siku na anakuwa mtu wa kwanza kabisa kufika uwanja wa mazoezi wa Chelsea, Cobham na huwa ni mtu wa mwisho kuondoka akifanya mazoezi ya pamoja na mazoezi yake binafsi.
Kwasasa kipa huyo amepata nafasi ya kuitumikia timu ya akademi ya Chelsea.
16/03/2023
Wananchi wanaitaka robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika wanasema waje wamalizane.
Mchezo huu utapigwa kuanzia Saa 1:00 Usiku na kuruka mbashara kupitia
16/03/2023
Wasemaji na Vituko Vyao kazini๐ _ Ahmed Ally aliwahi kusema kuwa klabu haitotumia mamodels kufanya utambulisho wa jezi lakini mamodels tukawaona!!๐ Ally kamwe aliwahi kukana kupita mitaani kufanya hamasa kwa mashabiki wake ili wakajaze uwanja lakini Mimi na wewe ni mashahidi wa hicho kitu๐ Na sasa maafisa habari wa Yanga SC na Singida BS kukanusha ishu ya Bruno Gomes kwenda Yanga SC ๐ nawaomba tuwe mashahidi tena muda ukifika ๐ Akili mtu wangu ๐ Bruno update.... soon hapa hapa endelea kuwa karibu!! Follow . . . . . . . . โค๏ธ View all 17 comments
16/03/2023
Ligi ya Mabingwa wikiendi hii
Mnyama atakuwa Dimba la Benjamin Mkapa akiitafuta Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, pale atakapowakaribisha
Mchezo huu utapigwa kuanzia Saa 1:00 Usiku na kuruka mbashara kupitia
16/03/2023
Hizi ndiyo timu zilizofuzu hatua ya Robo Fainali ya Klabu Bingwa Ulaya msimu huu !!
Timu ipi unaipa nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa?
30/08/2020
Tazama live siku ya wananchi toka uwanja wa Benjamin Mkapa gusa link ๐
#LIVE SIKU YA WANANCHI
05/06/2020
*Mtoto mzuri Nuru afunguka mwanamke ni pambo tazama video yake kisha tupe mtazamo wako*๐
NURU SPICY (KONDE GIRL) KULIGEUZA GAME LA BONGO FLEVA/TUONDOE MAZOEA MUZIKI SI WAKINA NAND,JD,MAUA .
03/06/2020
Mapenzi si pesa ila bila hela hayaend
Hivi anachokisema huyu mrembo ni kwel
Tazama hiyo video hapo chin nipe maoni yako
Gusa link hapo๐๐
NALLY CHUGA PRINCESS -BILA PESA SIWEZI KUKUPA PENZI/NIPO TAYARI KUMKALISHA MSANII YOYOTE WA BONGO
#
01/06/2020
Twende YouTube kutazama interview
Ya mrembo kuhusu
Mahusiano yake gusa link kutazama๐
NALLY CHUGA PRINCESS -BILA PESA SIWEZI KUKUPA PENZI/NIPO TAYARI KUMKALISHA MSANII YOYOTE WA BONGO
#