02/04/2020
Yanga isajili wachezaji hawa..(soma hapa).
YANGA kuwa fiti, inatakiwa kusajili wachezaji hawa... - Bongosoka
Msimu wa ligi kuu ya soka Tanzania Bara ukiwa umesimama kwa siku 30 kutokana na usambaaji wa Corona, klabu mbalimbali Soma Zaidi...
30/03/2020
Hizi ndizo klabu maarufu zaidi Duniani.. (soma hapa)
Zijue klabu za soka KUBWA na MAARUFU zaidi Duniani... - Bongosoka
Kila klabu imekuwa na utamaduni wake, historia na pia aina ya uchezaji soka ambavyo vyote kwa pamoja vimekuwa vikiwavutia mashabiki Soma Zaidi...
30/03/2020
Ripoti ya kocha na mtego wa Simba kwa Mwamnyeto...(soma hapa).
Ripoti ya kocha SIMBA yamuibua Mwamnyeto... - Bongosoka
Baada ya ligi kusimama kwa siku 30 kutokana na tahadhari ya usambaaji wa virusi vya Corona, kocha wa klabu ya Soma Zaidi...
28/03/2020
Hizi ndizo sababu za mgongano wa viongozi Yanga.. (soma hapa)
Chanzo mgongano wa viongozi Yanga, hiki hapa... - Bongosoka
Siku ya jana jumla ya viongozi watano (5) wa klabu ya soka ya Yanga, walitoka katika nafasi zao. Kati ya Soma Zaidi...
26/03/2020
Unamkumbuka Marc-vivien Foe ?, heshima yake inadumu Man City .. Tujikumbushe kidogo (soma hapa chini)...
MARC Vivien Foe na Jezi ya heshima Man City... - Bongosoka
Dunia inakumbuka huyu mwamba kwa ukabaji wake wakutumia nguvu na akilili, umbo lake lenye misuli mingi iliwapa taabu viungo wengi Soma Zaidi...
25/03/2020
Tshishimbi atajwa Simba, avurugana na Yanga na picha nzima iko hivi (soma hapa chini)...
Baada ya Ajib na Gadiel, TSHISHIMBI nae kutua Simba... - Bongosoka
Imeripotiwa kwamba, klabu ya soka ya Simba iko katika nafasi ya nzuri ya kumtwaa kiungo mkabaji na nahodha wa klabu Soma Zaidi...
25/03/2020
Soma Barua yote ya GSM wakifunguka kujiondoa Yanga hii hapa...
GSM wafunguka mazito, kujiondoa Yanga... - Bongosoka
Wadhamini wa klabu ya soka ya Yanga, kampuni ya GSM, imeandika barua ya kujiondoa katika majukumu ya kuisaidia timu hiyo Soma Zaidi...
24/03/2020
Nyota watano wa Arsenal wanaotajwa kutemwa hawa apa... Ronaldo akili yote Man Utd, PSG.. somza zaidi..
Tetesi: Arsenal kutema watano, Ronaldo sasa ni Man Utd au PSG... - Bongosoka
Ligi mbalimbali duniani, zimesimama kutokana na madhara yanayoendelea kuzikumba nchi mbalimbali duniani kutokana na usambaaji wa virusi vya Corona, ugonjwa Soma Zaidi...
23/03/2020
wafahamu nyota wa soka wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi England.
NYOTA wa soka Uingereza wanavyopiga mkwanja wa ajabu.. - Bongosoka
Ligi kuu ya soka ya England, ni ligi yenye umaarufu mkubwa pengine kuliko ligi yoyote barani Ulaya na duniani, kwa Soma Zaidi...
21/03/2020
Ligi ya England imekuwa ni moja kati ya ligi bora na pendwa kutokana na namna ambavyo imekuwa ikifuatiliwa Zaidi na watu wengi ulimwenguni. Ligi hii imetoa makocha bora, wachezaji bora, timu bora na nyuma ya hayo yote huwa kunakuwepo viongozi bora, nadni ya timu tunawagusia Zaidi manahodha. Hawa ndio manahodha bora zaidi ambao wamewahi kuongoza timu zinazoshiriki ligi kuu ya England, maarufu k**a EPL. [ 548 more words ]
MAKAPTENI bora zaidi ktk historia ya ligi ya Uingereza... - Bongosoka
Ligi ya England imekuwa ni moja kati ya ligi bora na pendwa kutokana na namna ambavyo imekuwa ikifuatiliwa Zaidi na Soma Zaidi...
21/03/2020
Ligi ya England imekuwa ni moja kati ya ligi bora na pendwa kutokana na namna ambavyo imekuwa ikifuatiliwa Zaidi na watu wengi ulimwenguni. Ligi hii imetoa makocha bora, wachezaji bora, timu bora na nyuma ya hayo yote huwa kunakuwepo viongozi bora, nadni ya timu tunawagusia Zaidi manahodha. Hawa ndio manahodha bora zaidi ambao wamewahi kuongoza timu zinazoshiriki ligi kuu ya England, maarufu k**a EPL. [ 542 more words ]
MANAHODHA bora zaidi kutokea ligi ya Uingereza... - Bongosoka
Mnahodha bora EPL. Yupi nahodha wako bora zaidi katika historia ya ligi ya Uingereza ?
21/03/2020
Wachezaji wa zamani wa Arsenal na kisa cha kufukuzwa Uswis..
Wachezaji wa zamani wa Arsenal na kisa cha kufukuzwa Uswis.. - Bongosoka
Klabu ya soka ya FC Sion ya nchini Uswisi, imewafukuza wachezaji tisa, ikiwa ni pamoja na nyota wawili, Alex Song Soma Zaidi...