Tuichambue Kandanda

Tuichambue Kandanda

Share

Hi ni page ya michezo na burudani

16/08/2026

Hivi ndivyo Simba SC Tanzania walivyo pokelewa huko bukoba, kuelekea mchezo wao wa ligi kuu ya Nbc Tanzania bara dhidi ya Kagera sugar.

16/08/2026

Matokeo ya ligi kuu ya Tanzania bara

15/08/2026

Matokeo ya ligi kuu ya Tanzania bara Simba SC Tanzania Azam FC

15/08/2026

Stephano Aziz ki amerejea katika klabu yake ya Young Africans Sports Club

15/08/2026

Yanga kutamburisha x factor kmc complex

14/08/2026

Matokeo ya ligi kuu ya Nbc Tanzania bara Tanzania Football Federation

14/08/2026

Matokeo ya ligi kuu ya Nbc Tanzania bara leo Tanzania Football Federation Azam TV

13/08/2026

Deal done✅

Azam FC imekamilisha usajili wa beki wa kati, Nathan Idumba Fasika.

12/08/2026

Mechi ya kwanza, kombe la kwanza kwa kocha
Manqoba Mngqithi

Young Africans Sports Club

12/08/2026

Young Africans Sports Club mabingwa wa ngao ya jamii 2026.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam