10/07/2017
Dooh....kwel..EPL ya msimu unaonekanaa ni mgumu na wenye magoli mengi...kwa timu zoote.....maana ni usajili uliofanyika mkubwa na tishio kwa klabu zoote....xx yangu macho...je usajili uliofanyika utafanya kazi ili kutetea timu zao..........
21/06/2017
Duuhh...nadhani UEFA ya msimu huu haitonogaa kwasababu ya kukosekana timu ambayo huwa kila msimu ipo na kuiwakilixha EPL vyemaa.....xaxa xjui itakuwaje....toa maoni yenu
21/06/2017
Wanachama wa sports extraa.....polen ya kuwa mm kuwa adimu sana kwa ili...ilaa mda huu ntakuwa bega kwa bega...kweny kutoa mchangooo...kwa lolote litakalo tokea katkaa kabumbu....
07/11/2016
naomba niulize ki2 hivi msimamo utabak hivi au utakuja kubadilika
04/05/2016
hapo chacha fainal ya watoto wa baba 1 xjui itakuwaje????
04/05/2016
duuuuhhh!!!!! kwel nmeamin mpira unadunda maana kupiga kote mpira lakn wakaambulia kutoka ila hawa the wametoka kisheria
04/05/2016
picha la leo kali sana mimi xina meng ya kuongea labda nyie watu wang wa nguvu
28/04/2016
jaman picha ndo k**a linavyoonekana pale UEFA masterlingi wote wamekufa ila katka picha hilo hilo masterling watarud tena kwa nguvu mpya kwa baadh ya watu wao muhimu kurud je masterling watafanikiwa kuwapiga maadui ili waweze kukutana wenywe
namba 1 REALMADRID
namba 2 BAYERN MUNICH
31/03/2016
Jaman ureno imekuwaje lakn
13/12/2015
Jaman hatua ya makundi uefa ni tayar yashaisha na baadhi ya timu k**a chelsea,man city,arsenal ni pekee za ligi kuu england ndo zmefanikiwa kupita kwa hatua ya 16 bora je watafanikiwa kuiwakilixha hiyo ligi ya england vyema ila tunamtakia kila kheri man united kwa kushindwa kupita katika hatua hiyo!!!!!
28/04/2015
neno langu ni kuwa Yanga ni bingwa