01/08/2020
Mazoezi ya kuendesha baiskeli maalum inaitwa spining bike class.
Zoezi hili sio lazima uwe unajua endesha kwa sababu kila mtu hufanya na huchukua muda wa dakika 45. Husaidia kupunguza uzito baada ya kufanya tu.
03/07/2020
Mazoezo ya miguu ni mihimu sana kwa kuimarisha misuli yako ya miguu .
K**a picha zinavyoonyesha ikianza na kumaliza.
Picha ya kulia inaonyeaha mwanzo wa mazoezi na ya kushoto ikimalizia reps 10x3.
05/05/2020
Katika kipindi hiki cha maambukizi ya korona mazoezi ni muhimu sana kwa kila mtu akiwa nyumbani. Inabidi upaye mda wa dk. 20 kujiganyia mazoezi ukiwa hapo nyumbani kwako kwa kufuatilia kutoka kitabu cha mazoezi.p
17/10/2019
Mazoezi ya sehemu ya pembeni mwa mbavu (obliq mascle) yanavyofanywa.
Na picha ya pili ni mazoezi ya aerobics katika uwanja wa wazi wa mwembe yanga
18/09/2019
Kitabu cha mazoezi kipo mauzoni ni kopi ya kwanza iliyoandikwa kwa lugha ya kiswahili.
Kitabu kinazungumzia mambo mengi yahusuyo afya ya mwili wako na mazoezi ya aina zote ikiwemo mazoezi ya kutoa tumbo lilokithiri na mazoezi ya kujenga misuli. Wahi kopi yako sasa.piga simu no 255766 811 920
03/10/2016
Mazoezi ya body tune husaidia kuondoa mafuta yalozidi kwenye mwili wako.
Najaribu kuongelea hili zoezi na namna gani unaweza kufanya mazoezi kwa kutumia cable mashine.
09/07/2016
DAWA YA KUONDOA KITANBI AU TUMBO KUBWA:
Tumbo halina njia ya mkato kuliondoa, maanake unakula kila siku na dawa ya kuepukana nalo ni kufanya mazoezi japo mara moja kwa siku pindi uamkapo asubuhi jaribu kuenda mara mia moja kiwango cha chini. Lakini ni vema ufanye 50x6 nikimaanisha unaenda hamsini unapumzika dakika moja halafu unaendelea mpaka ufikie idadi utakayo.
28/06/2016
Kwa kawaida binadamu anakuwa na tatizo ambalo hapendi awe nalo kutokana na muonekano wake.
Tatizo lenyewe ni kuwa na tumbo kubwa au kitambi(kifriji) hukufanya uwe haupendezi hata ukivaa nguo ya gharama gani hupendezi. Inabidi kufanya mazoezi ili kuondoa hilo tatizo.
06/02/2016
Namna ya kula na kiasi gani na wakati gani.
Mlo wa siku ni kifungua kinywa nikiwa na maana, kupata mlo wa kutosha asubuhi.
Kwa wale wanaotaka kupunguza uzito , kubadili tabia ya kula hovyo. Na kupunguza kiasi cha chakula unachokula.
Wakati wa usiku pata chakula chepesi.
Zingatia mazoezi kwa mtokeo mzuri
06/08/2013
nawashukuru wale ambao wameungana nami muendelee kuwa nami.
NAWATAKIA RAMADHAN KARIM
08/08/2012
Hi every body karibuni kwenye mazoezi kupitia blog ya OK BODY SHAPE.na kujua mengi kuhusu afya yako ili urefushe maisha yako.
please like the page to get more information