16/06/2023
🚨 MOLOKO APEWA MKATABA
Viongozi wa Yanga wamemalizana na winga Jesus Moloko 🇨🇩 kwa kumpa mkataba wa mwaka mmoja ni baada ya kuonyesha kuimarika zaidi msimu huu.
�HABARI ZA MICHEZO
�BURUDANI
�TETESI ZA USAJILI
�Follow Page kwa habari zote za moto za Michezo na Burudani
16/06/2023
🚨 MOLOKO APEWA MKATABA
Viongozi wa Yanga wamemalizana na winga Jesus Moloko 🇨🇩 kwa kumpa mkataba wa mwaka mmoja ni baada ya kuonyesha kuimarika zaidi msimu huu.
15/06/2023
TETESI K**A TETESI
Hili ni swali ambalo kila mpenzi na shabiki wa soka nchini anajiuliza...?
Swali hili linakuja baada ya aliyekuwa kocha wa yanga prof mohamed nabi kupendekeza jina la MVP wa NBC PREMIER LEAGUE, Fiston Kalala Mayele kusajiliwa na timu ya Kaizer Chiefs ambayo yeye anaitumikia kwa sasa.
Ikumbukwe kuwa hawa wote wamekuwa kwenye misimu mizuri sana na wanachi ambapo wameweza kutwaa ngao ya jamii, ubingwa wa ligi kuu,na ubingwa wa kombe la ASFC
24/12/2022
NGUVU YA PESA, NGUVU YA BAKHRESA💥
Kiungo Mshambuliaji wa Yanga Sc amejiunga na Azam Fc kwa kandarasi ya miaka mitatu. Awali mkataba wa Feisal ya Yanga Sc ulikuwa uishe mwaka 2024.
Kilichotokea ni kulipwa kwa fedha (Signing Fee) pamoja na Mishahara ya miezi mitatu.
✅Feisal Salum..... Ni mwana lamba lamba
17/11/2022
Beki ya Mpira, unampa asilimia ngapi....?
20/08/2022
MLete mzungu, mlete mzungu
Anawaambia
"Mnasemaaa ? 👂, nimekuja sasa"
18/08/2022
Za ndani kabisa, makamu wa rais wa mabingwa wa nchi amemaliza shughuli iliyompeleka nchini Uganda
Sisi ni mashahidi tu
Like page yetu
17/08/2022
TANZIA; Msanii wa Comedy maarufu K**a ERIK amefariki dunia,😭😭😭😭😭😭😭 R.I.P 🙏🙏
Msiba upo Kibaha
13/08/2022
DERBY YA KARIAKOO MAANDALIZI NI 100%: Ni hapa dimbani Benjamin Mkapa
Mechi saa 1:00 usiku mbungi itakuwa LIVE
09/08/2022
09/08/2022
DARIO FEDERICO ANUKIA JANGWANI
Uongozi wa Yanga hupo Katika hatua za mwisho kabisa kumsajili mshambuliaji raia wa Brazil Dario Federico Kutoka Singida big star.
Yanga wanatakiwa kumtoa Jésus Ducapel Moloko kwenda Singida big star K**a sehemu ya dili la mshambuliaji Dario Federico.
Kesho mchezaji Dario Federico atakuja jijini Dar es salaam akitokea Morogoro ambapo timu ya Singida big star ipo kwa sasa imeweka kambi.Kuja kumalizana na Yanga kwa kusaini mkataba 📃✍️.
08/08/2022
Mwamba na nusu.......
Huyu ndiye atakayepeleka huzuni upande wa pili
08/08/2022
Nelson okwaaaaaaaaa
Chuma cha pili
Simba 2-0 Saint George