K-sports

K-sports

Share

sports league ⚽⚽ &

07/12/2025

K-sports
Simba Queens Tanzania Leo itafunga

27/11/2025

🚨 Barcelona wana wasiwasi kwa sababu Lamine Yamal amekuwa “adui wa umma namba 1” kwa mashabiki wa timu pinzani kwenye mechi za ugenini. ⚠️‼️

Imejitokeza Stamford Bridge, dhidi ya Brugge, na kwenye Bernabéu, kwa mujibu wa Diario Sport.

27/11/2025

Arsenal inaweza kuchukua UCL, lakini inategemea mambo kadhaa:

Ubora wa kikosi msimu husika

Mikakati ya Arteta kwenye mechi kubwa

Ubora wa washindani k**a Real Madrid, Bayern, Man City n.k.

Mazoezi, afya ya wachezaji na consistency

Arsenal imekuwa timu imara chini ya Arteta, na k**a wataendelea na kiwango chao cha juu, kuongeza wachezaji sahihi na kutokuwa na majeruhi muhimu—wana nafasi nzuri kabisa ya kupambana hadi mwisho.

Kwa kifupi: Inawezekana, lakini wanahitaji kuwa bora sana kwenye hatua za mwisho za mashindano.

Photos from K-sports's post 27/11/2025

“He will be the top scorer of the UCL and he will also win the Ballon d’Or. He works very hard — let’s pray that Madrid reaches the UCL final.”

27/11/2025

Arsenal celebration

27/11/2025

Rice

25/11/2025

Kila nikiwaza aliwahi kuletewa Mtu mezani hii mali kuwa chukua huyu Fundi atasaidia, basi naishia kusonya tu, basi ndio hivyo ishakuwa😀

25/11/2025

➡️ “Tabiri matokeo ya mechi ya Chelsea dhidi ya Barça! 🍿🤹‍♂️”

25/11/2025

🚨🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Rashford amerikava atakuwepo zidi ya CHELSEA. ❤️💙

25/11/2025

“Liverpool FC wanajiandaa kutoa dau la rekodi la €159m kwa mchezaji wa PSG João Neves, kwa mujibu wa Fichajes 😲💰”

25/11/2025

Beki wa simba deruck ni beki bora kwasasa Tanzania akuna k**a yeye

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Geita?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address


Geita