17/01/2026
JAMES Alex SIMBA
[email protected] nimshabiki Simba Tanzania � pia nimwanachama ssc pia nikiongozi Simba mkoa wa GEITA ngazi ya wilaya ya GEITA K**a msemaji tawi
17/01/2026
15/05/2025
*TWENZETU FAINALI*
*BENJAMINI MKAPA*
ni fainali ya CAFCC
*SIMBA SC VS RS BERKANE*
NAULI KWENDA NA KURUDI TOKA GEITA
Tshs,100,000=/
Laki mojatuu.
Tuma kwa mhasibu mkoa
+255763316121
GRADYS JOSIAH BURANGWAHE
________________________
Kumbuka kutuma na YAKUTOLEA Ndugu mwana Simba Ukisha tuma nauli
Tupigie
Tuma mapema uwe na UHAKIKA wa safari
Nafasi zilizo baki chache
Lipia sasa mda huuu tumebakiwa siku 7 za mandalizi kabla yakuondoka
Kuondoka ni tare 23-5-2025 saa 10:00 jioni Geita
Tutakuwa na vituo vinne
Vyakuwakuta wana Simba
1-Ofisi ya Simba mkoa shilabela,
2-Na katoro sitendi
3-Ushilombo
4-Na masumbwe
Wote tutakusanyikia maeneo HAYO Kisha safari inaanza,
Hiii TUNABEBA
Simba NGUVU MOJA
27/04/2025
“HATUISHII HAPA”: Ndivyo anavyosema Mnyama Simba akiwa dimba la ugenini leo, akiisaka fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini.
Mnyama anaingia katika mchezo huu akiwa na faida ya goli 1 - 0 alilopata mechi ya kwanza.
Mnyama anahitaji sare au ushindi kutinga fainali.
Mechi hiinitapigwa kuanzia saa 10:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.
Kwa kifurushi cha Shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.
03/11/2024
Hii siku nayo inaenda
Kuisha HIVYO
Vile wana Simba tunaisubili mechi dhidi yetu na Kmc
Ndugu wawili Watumiao uwanja
Mmoja Kmc komplex
27/10/2024
✍️KARIBUNI watanzania Group hili nimali yawatanzania Wote Taarifa zote humu zinapatikana✍️.
Kasoro tarifa za matusi kamavile ngono namatusi mengine yahovyo hayaruhusiwi by,utawara TANZANIA 🇹🇿 MOJA 👏
https://chat.whatsapp.com/L7Cgs3WWlKaHSDF5Ryxkdb
23/07/2024
Tawi Simba lwamgasa
Aungurumapo simba lwamgasa
23/07/2024
10/03/2024
Somba somba anana 😂
06/03/2024
Makamanda waleo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the business
Website
Address
Www. Jamesalexsimba. Com
Geita
HAXCH
06/08/2025