Kocha Mchezaj

Kocha Mchezaj

Share

Kwa habar za michezo tu

04/12/2022

Kuna nini leo hapa mjini.


Kocha Mchezaj

04/12/2022

🚨 Chama Clatous Ni Mchezaji🎯

----------------------------------------------------
Ninatazamia kukuona ukipiga hela kupitia kwa kushare posti hii kuelekea msimu wa sikukuu. - Gusa fuata na udondoshe maoni useme jambo!
Bonyeza LinkπŸ‘‡??πŸ‘‡πŸ‘‡

Tunakuomba mpenzi mfuatiliaji wa k**a unapendezwa na taarifa zetu share posts kwa wenzako kwa magroup ya facebook na WhatsApp.


04/12/2022

🚨 FISTON Mayele kuikosa Prisons leo.

KKocha MchezajMchezaj

04/12/2022

Kocha Mchezaj

04/12/2022

πŸ—£οΈMimi Tanzania ningependa kucheza Simba Sc kwa sababu pale Yanga Kuna ndugu zangu Djuma Shabani Fiston Mayele Jesus Moloko natamani nichezee Simba ili nimpe ushindani Mayele

✍🏿Maneno ya Caser Manzoki wakati yupo Tanzania kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Young Africa's kwenye tamasha la Siku ya mwananchi ambapo Vipers waliibuka na ushindi wa magoli 2-0 siku ya mwananchi wakaitia doa

Huenda Simba Sc wakakamilisha Usajili wa manzoki dirisha dogo Kumbuka Manzoki alitakiwa kutua Simba Sc lakini klabu ya Vipers ya Uganda wakafanya fitna na kuamua kumuuza kwenda nchini πŸ‡¨πŸ‡³China kwa mkataba wa miezi sita .

Pia Young Africa's wanahitaji Saini ya Mshambuliaji huyo lakini yeye hayupo tayari kutua Jangwani.

Hata ungekua wewe ukacheze shirikisho wakati Kuna CAF Champions League ukalale Jangwani Kule wakati Simba wapo Kariakoo pale

Powered by KochKocha MchezajeKocha Mchezajlow πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

04/12/2022

Mnajua ni kwa nini Simba mara zote wamekua wakihaha kuhusu kusajili Kiungo mkabaji?

Ni kwa sababu hawana mtu K**a Khalid Aucho πŸ‡ΊπŸ‡¬ pale katikati, na Yanga Eneo la Kiungo linaonekana lipo stable ni kwa sababu ya huyu Mwamba.

Ivi Mnajua Mbadala wa Aucho yanga ni Zawadi Mauya? (mzee wa backpass) Embu imagin Mechi k**a ile ya Tunisia Angecheza Mauya badala ya Aucho.

Naandika Haya kwa sababu Jana baada ya gazeti la mwanaspoti Kuandika tetesi za Aucho kutaka kuondoka yanga na mimi Kupitia Ukurasa wangu hapa niliandika lakini kilichonishangaza ni Comments zenu wananchi wengi mlijibu kwamba muache aende ivi Mpo serious kweli?

Umuache Aucho aondoke Huku mbadala wake akiwa ni Gift utakua na akili kweli? K**a hili litatokea Wananchi mtahaha sana mpaka kuja kupata mbadala wa Aucho pale Yanga nipo nimekaa paleπŸ‘‰

Wito wangu viongozi wa Yanga wakae na Aucho wampe mkataba Mpya, k**a ataondoka basi wawe na Uhakika wa kumpata Bobosi Byaruhanga πŸ‡ΊπŸ‡¬

KochaKocha MchezajzKocha Mchezajamchezaj

Photos from Kocha Mchezaj's post 04/12/2022

β€œBobosi in...... Okwa out”

Kiungo wa Vipers BoBoSi rasmi sasa ni Msimbazi! Mwamba huyu kujiunga na Wana Runyasi!

Na Okwa Dirisha dogo ataondoka kupisha usajili huu.

Kocha Mchezaj

03/12/2022

OKWI AITABIRIA UBINGWA SIMBA.

πŸ—£οΈAzungumza haya

"Kutokana na uzoefu nilionao juu ya ligi kuu ya Tanzania kwa miaka kadhaa hivi ambayo nilipitia uzoefu huo, kwasasa ni kwamba bado sijaona timu zilizofikia level za Simba Sc na Yanga katika ligi hiyo, ukiniuliza kuhusu ubingwa mwaka huu nitakuambia vilabu vyote vinanafasi yakutwaa ubingwa wa msimu huu NBC, Ila kipaumbele nitakwambia Simba Sc kwasababu nazozijua mimi.

"Kwa kuitazama nafasi ya Simba katika msimamo wa ligi kuu ya Tanzania huwezi kusema tayari wamekwisha poteza ubingwa kwani hata katika misimu tuliokuwa pamoja tulikuwa tukiongoza na kuchukua ubingwa tukitokea katika nafasi k**a hii waliopo sasa hivi, hivyo bado naiona Simba inaenda kuchukua ubingwa msimu huu bila shaka yoyote.

"Lakini pia uwekezaji unaoendelea kufanyika katika klabu ya Simba ni tofauti na vilabu vingine na nina imani kubwa kuelekea dirisha dogo hili watafanya makubwa zaidi kwa kuongeza wachezaji wenye viwango zaidi katika nafasi tofauti tofauti.

"Hivyo kwa kuyasema hayo ni kwamba bado nina mapenzi na klabu ya Simba na naiombea kuendelea kufanya makubwa zaidi na zaidi kwa sababu kwa sifa aliyo nayo hadi sasa hakuna klabu katika ligi ya bongo inayoweza kuishusha sifa hiyo.

KKocha MchezajMKocha Mchezaj

03/12/2022

AUCHO KUONDOKA YANGA.

Kwa Mjibu wa Gazeti la Mwanaspoti la Leo Jumamosi ya December 3,2022 limeripoti Kuwa Kiungo wa Kimataifa wa Uganda πŸ‡ΊπŸ‡¬ na Klabu ya Yanga SC πŸ‡ΉπŸ‡Ώ,Khalid Aucho πŸ‡ΊπŸ‡¬ amegoma kuongeza Mkataba Mpya ndani ya Kikosi Cha Yanga na anataka kuondoka Klabuni hapo.

Mkataba wa Aucho πŸ‡ΊπŸ‡¬ na Yanga unatamatika Mwishoni mwa Msimu huu na inaelezwa Kuwa Tayari amepata ofa nono kutoka Kwa Moja ya Klabu inayoshiriki Ligi Kuu Nchini Saudi Arabia.

🀲 Mwisho Tunakuomba mdau uliesoma post hii Usiache kutu Follow Page hii
Kocha MchKocha MchezajKocha Mchezaj

02/12/2022

𝐁𝐫𝐞𝐚𝐧𝐀𝐒𝐧𝐠 𝐍𝐞𝐰𝐬

Kiungo Wa Yanga raia wa Ghana Bernnard Morrison Ambaye hayupo na kikosi kwa sasa inatajwa kuwa amevunja mkataba na Klabu hiyo yenye maskani yake Jangwani Dar es salaam

Morrison inatajwa kuwa amevunja mkataba huo ambao ulikuwa umebakia mwaka 1 Na miezi 6

Morrison kwa sasa ni mchezaji Huru na kuna Uwezekano mkubwa Akaendelea kubaki katika Ligi ya Tanzania lakini kwa Sasa hatokuwepo Mjini πŸ˜ƒ

#𝐅𝐨𝐱𝐬𝐩𝐨𝐫𝐭

02/12/2022

Bobosiβœ…βœ…βœ…

30/11/2022

Simba kuanza na Eagles FC kwenye Kombe la Shirikisho la Azam 2022/23.



Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Kariakoo?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Website

Address


Tanga
Kariakoo