02/07/2022
Amplifaya clouds fm
02/07/2022
02/07/2022
Ooh ni nin hiki
02/07/2022
Wazee msimu ujao tutaona mengi k**a gwaridee
02/07/2022
Kiungo mshambuliaji wa klabu Simba aliyewahi kuitumikia pia klabu ya Yanga, Bernard Morrison amesema anatamani sana apate uraia wa Tanzania alipokuwa anazungumza na wanahabari .
Moja ya sababu ya Morrison kutamani kuwa Mtanzania ni uzuri wa Tanzania lakini pia anatamani sana kuitumikia Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars .
Vipi , mzee wa Kucheketua apewe Uraia twende naye AFCON ?
02/07/2022
Rais wa shirikisho la soka Duniani FIFA, Gianni Infantino amethibitisha kutumika kwa mpira uliotengenezwa kwa teknolojia maalumu ya kubaini /kutambua offside katika mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022.
Infantino amesema wamekubaliana na Adidas kufanya hivyo ili kuwasaidia waamuzi mara baada ya teknolojia ya VAR kufanya vizuri tangu ilipoanza kutumika .
Unamaoni gani katika hili la mpira kuwa na uwezo wa kutambua offside ?
Credit
02/07/2022
Kuna namna tukutane kila jumatatu mpaka ijumaa kwenye score board ya clouds amplifaya na millard ayo
02/07/2022
Chumaa hiyooo