11/03/2026
Iran haitashiriki Kombe la Dunia la 2026 baada ya Marekani kuandaa mashambulizi ya anga pamoja na Israeli ambayo yalimuua Kiongozi Mkuu wa Iran Ali Khamenei na kusababisha mzozo mkubwa wa kikanda, waziri wa michezo wa nchi hiyo amesena Jumatano hii.
11/03/2026
๐ Kikosi cha Arsenal kinachoanza dhidi ya Bayern Leverkusen
16/08/2025
๐จ Beki wa Aston Villa Ezri Konsa amekuwa mchezaji wa kwanza kupewa kadi nyekundu
15/08/2025
๐จ Premier league Leo.
14:30 Newcastle ๐ Aston Villa
17:00 Brighton ๐ Fulham
17:00 Sunderland ๐ West Ham
17:00 Tottenham ๐ Burnley
19:30 Wolves ๐ Man City
15/08/2025
๐จ Mohamed Salah ndiye kinara mwenye magoli mengi zaidi katika mechi ya kwanza ya ufunguzi wa ligu Uingeleza akiwa amefunga mabao (10), akiwazidi nyota wengine waliobaki wenye 8.
15/08/2025
๐จ Premier League
Ft: Liverpool 4-2 Bournemouth
โฝ๏ธ Ekitike. Semenyo โฝ๏ธโฝ๏ธ
โฝ๏ธ Gakpo
โฝ๏ธ Chiessa
โฝ๏ธ Salah
Liverpool ameendelea pale alipoishia msimu uliopita,.
13/08/2025
๐จ Azam fc imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya Jkt Tanzania kwa kufungwa goli 2-1
13/08/2025
๐จ Kikosi cha SimbaSc kimeendelea na mazoezi nchini Misri kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara.
13/08/2025
๐จ Zikiwa zimesalia siku 2 kabla ya Premier League (Epl) kuanza,ni timu gani unaiona inakwenda kuchukua kombe..?
13/08/2025
๐จ Manchester Utd wamethibitisha mshambuliaji wao mpya Benjamin ล eลกko atavaa jezi namba 30.
13/08/2025
๐จ๐ Rasmi, imethibitishwa. Jack Grealish anajiunga na Everton kwa mkataba wa mkopo na kipengele cha chaguo cha kununua cha ยฃ50m kutoka Man City.