SokaBase

SokaBase

Share

Tanzanian sports journalist | Freelance Journalist || C.E.O sammsports255 || email. [email protected]

11/03/2026

Iran haitashiriki Kombe la Dunia la 2026 baada ya Marekani kuandaa mashambulizi ya anga pamoja na Israeli ambayo yalimuua Kiongozi Mkuu wa Iran Ali Khamenei na kusababisha mzozo mkubwa wa kikanda, waziri wa michezo wa nchi hiyo amesena Jumatano hii.

11/03/2026

πŸ”‹ Kikosi cha Arsenal kinachoanza dhidi ya Bayern Leverkusen

16/08/2025

🚨 Beki wa Aston Villa Ezri Konsa amekuwa mchezaji wa kwanza kupewa kadi nyekundu

15/08/2025

🚨 Premier league Leo.

14:30 Newcastle πŸ†š Aston Villa
17:00 Brighton πŸ†š Fulham
17:00 Sunderland πŸ†š West Ham
17:00 Tottenham πŸ†š Burnley
19:30 Wolves πŸ†š Man City

15/08/2025

🚨 Mohamed Salah ndiye kinara mwenye magoli mengi zaidi katika mechi ya kwanza ya ufunguzi wa ligu Uingeleza akiwa amefunga mabao (10), akiwazidi nyota wengine waliobaki wenye 8.

15/08/2025

🚨 Premier League

Ft: Liverpool 4-2 Bournemouth
⚽️ Ekitike. Semenyo ⚽️⚽️
⚽️ Gakpo
⚽️ Chiessa
⚽️ Salah

Liverpool ameendelea pale alipoishia msimu uliopita,.

13/08/2025

🚨 Azam fc imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya Jkt Tanzania kwa kufungwa goli 2-1

Photos from SokaBase's post 13/08/2025

🚨 Kikosi cha SimbaSc kimeendelea na mazoezi nchini Misri kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara.

13/08/2025

🚨 Zikiwa zimesalia siku 2 kabla ya Premier League (Epl) kuanza,ni timu gani unaiona inakwenda kuchukua kombe..?

13/08/2025

🚨 Manchester Utd wamethibitisha mshambuliaji wao mpya Benjamin Šeőko atavaa jezi namba 30.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Kigamboni?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


Kigamboni