SokaBase

SokaBase

Share

Tanzanian sports journalist | Freelance Journalist || C.E.O sammsports255 || email. [email protected]

11/03/2026

Iran haitashiriki Kombe la Dunia la 2026 baada ya Marekani kuandaa mashambulizi ya anga pamoja na Israeli ambayo yalimuua Kiongozi Mkuu wa Iran Ali Khamenei na kusababisha mzozo mkubwa wa kikanda, waziri wa michezo wa nchi hiyo amesena Jumatano hii.

11/03/2026

๐Ÿ”‹ Kikosi cha Arsenal kinachoanza dhidi ya Bayern Leverkusen

16/08/2025

๐Ÿšจ Beki wa Aston Villa Ezri Konsa amekuwa mchezaji wa kwanza kupewa kadi nyekundu

15/08/2025

๐Ÿšจ Premier league Leo.

14:30 Newcastle ๐Ÿ†š Aston Villa
17:00 Brighton ๐Ÿ†š Fulham
17:00 Sunderland ๐Ÿ†š West Ham
17:00 Tottenham ๐Ÿ†š Burnley
19:30 Wolves ๐Ÿ†š Man City

15/08/2025

๐Ÿšจ Mohamed Salah ndiye kinara mwenye magoli mengi zaidi katika mechi ya kwanza ya ufunguzi wa ligu Uingeleza akiwa amefunga mabao (10), akiwazidi nyota wengine waliobaki wenye 8.

15/08/2025

๐Ÿšจ Premier League

Ft: Liverpool 4-2 Bournemouth
โšฝ๏ธ Ekitike. Semenyo โšฝ๏ธโšฝ๏ธ
โšฝ๏ธ Gakpo
โšฝ๏ธ Chiessa
โšฝ๏ธ Salah

Liverpool ameendelea pale alipoishia msimu uliopita,.

13/08/2025

๐Ÿšจ Azam fc imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya Jkt Tanzania kwa kufungwa goli 2-1

Photos from SokaBase's post 13/08/2025

๐Ÿšจ Kikosi cha SimbaSc kimeendelea na mazoezi nchini Misri kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara.

13/08/2025

๐Ÿšจ Zikiwa zimesalia siku 2 kabla ya Premier League (Epl) kuanza,ni timu gani unaiona inakwenda kuchukua kombe..?

13/08/2025

๐Ÿšจ Manchester Utd wamethibitisha mshambuliaji wao mpya Benjamin ล eลกko atavaa jezi namba 30.

13/08/2025

๐Ÿšจ๐Ÿ’™ Rasmi, imethibitishwa. Jack Grealish anajiunga na Everton kwa mkataba wa mkopo na kipengele cha chaguo cha kununua cha ยฃ50m kutoka Man City.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Kigamboni?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


Kigamboni