19/05/2022
Kunani Triple C
all about sports
19/05/2022
Kunani Triple C
19/05/2022
TAARIFA KUTOKA GEITA GOLD FC.
Klabu ya Geita Gold fc inapenda kuwataarifu wapenzi, wadau na Mashabiki wa mpira wa miguu Tanzania Kuwa Mchezo wetu namba 192 wa ligi Kuu soka NBC Tanzania dhidi ya Klabu ya Simba sc utachezwa uwanja wa CCM KIRUMBA-MWANZA.
Kutokana na taarifa kadhaa zinazosambaa mitandaoni juu ya mchezo huo sasa tuwatoe hofu mashabiki wa klabu yetu kwamba Jumapili mei 22, 2022 mchezo huo utachezwa uwanja tajwa hapo juu Saa 10:00 Alasiri.
Tunawaomba mashabiki mjitokeze kwa wingi kutazama na kushangilia timu yetu ya Geita Gold
Imetolewa na
Simon J Shija
Mtendaji Mkuu wa Klabu
Geita Gold fc.
08/05/2022
Jeshi la Machampion wa nchi linaloenda kuvaana na Washika Mitutu wazee wa PTK papasa Tingisha kung'uka
10/04/2022
Kiporo kitakuwa au kitachacha kazi kwenu kusubiri na kuona
09/04/2022
Wachimba madini kujaribu bahati yao kwa wananchi Young Africans Sports Club GEITA GOLD FC
05/04/2022
02/04/2022
Mzigo upo wa kutosha
19/03/2022
Kwa mujibu wa baadhi ya taarifa kutoka Tanzania, klabu yenye mafanikio zaidi ya klabu ya Young African Sports Club inamfungia mshambuliaji wa Kimataifa wa Malawi na Orlando Pirates Gabadinho Mhango (29).
Mhango anataka kutoka baada ya kuenguliwa na benchi la ufundi la Pirates kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kwa sababu za kinidhamu.
17/02/2022
Robo Fainali ASFC
•Simba
•Azam Fc
•Geita Gold
•Yanga
•Coastal Union
•Pamba
•Kagera
•Polisi Tanzania
Panga droo yako hapa
16/02/2022
Heri ya kuzaliwa kwa mwana hadithi Pierluigi Collina ambaye anatimiza miaka 62 leo ❤️🎂
Mwamuzi pekee ambaye alikuwa na VAR machoni pake 😅
Mwamuzi huyu angeweza kuwasiliana kwa lugha 4 uwanjani (Kifaransa, Kihispania, Kiitaliano na Kiingereza). Kabla ya kila mchezo, alisoma mchezo na wachezaji wa timu atakazoongoza na kujua majina ya wachezaji.
Wakati wa Fainali ya Kombe la Dunia la 2002 huko Japan, Ronaldo alimpa shati lake na mpira. Wachezaji kutoka Brazil na Ujerumani wamempongeza kwa uchezaji wake. Alikuwa mkatili na kadibodi yake, haiba na kuheshimiwa. Wanasoka walikuwa na heshima kubwa kwake na hata hofu, kwa uwepo wake tu. Huyu pia ndiye mwamuzi pekee ambaye amekuwa kwenye koti la mchezo wa video.
Hadithi ya kweli 😍🔥
Sakooooooooooooo
Simba 1 Assec nill
13/02/2022
Kila lakheri wawakilishi pekee wa Tanzania