05/07/2022
SIMBA SC NDIYO TIMU YENYE MALENGO TANZANIA.
βπΏUnaweza kujiuliza kwanini? Kwasababu wachambuzi wengi wanasema Simba Sc haina malengo ya Muda mlefu. Sio kosa lao bali ni akili zao za kutaka kulinganisha Simba Sc na Man City au Liverpool
βπΏ Binafsi Simba ndio timu yenye malengo zaidi kuliko timu yoyote hapa Bongo kwa maana halisi ya Soka la Africa lilivyo.
βπΏ Simba ndani ya miaka 4 wametimua makocha wanne. Sio mbaya. Kwani kila kocha ameacha alama kwenye timu hapo hakufikia alipokusudia kwenye mkataba.
βπΏ Huwezi kuwa na kocha alafu ukampa mkataba wa miaka 5 eti unamipango ya Muda Mrefu. π timu haina vyanzo vya mapato Wala academy za kuibua vipaji vya wachezaji unategemea kocha aishi miaka mitano bila kutwaa ubingwa au kufikisha timu Mbali kwenye Caf CL Ampo huko ndipo Pesa zilipo.,.tusidanganyane...
βπΏ Pitso Mosimane licha ya ubora wake kashindwa kuipa ubingwa wa Caf CL Al Ahly msimu huu, kafeli katimuliwa. Simba na Al Ahly ni ipi timu yenye malengo? π
βπΏ Vibarua vya makocha vinalindwa kwa mafanikio yao kwenye club na siyo miaka yao ya kudumu kwenye club. Afrika soka Letu lipo chini sana unataka kocha akae hadi aishushe daraja timu ndo mjue kafeli?
π£ Zoran mwaka mmoja unatosha sana, na akifel hata miezi minne hafiki atimuliwe. Timu inafocus ya kufika Mbali siyo kukaa na kocha wa kuirudisha nyuma.
βπΏ Zoran anaweza kuongezewa mkataba k**a ataonekana anetimiza malengo, tatizo liko wapi?
NB. Simba SC TSimba SC TanzaniaiSimba SC TanzanianSimba SC Tanzaniau yenye malengo makubwa Nje na ndani ya uwanja japo msimu huu imepitia kipindi kigumu
05/07/2022
30/04/2022