19/06/2019
-Kocha mkuu wa timu ya Senegal, Aliou Cisse amesema hawezi kuzichukulia poa timu za Tanzania na Kenya kwenye kundi C la Afcon. Cisse amesema ni kweli Senegal na Algeria ni timu kubwa kwenye kundi ila Kenya na Tanzania kwa wao Senegel hawa wezi kuwadharau kwa sababu mechi na timu dogo ndio zinakuwa mechi ngumu sana.
12/06/2019
Tff imeachana rasmi na aliekuwa mkurugenzi wa ufundi Ammy Ninje na kuvunja benchi la ufundi la Serengeti boys.
12/06/2019
Jezi ya Nyumbani ya Taifa stars.
12/06/2019
Jezi za Taifa stars katika mechi za Uganini.
12/06/2019
Mwinyi Zahera Mimi sijasema Ajibu ni mchezaji Mbaya hapana, Ajibu ni mchezaji mzuri sana ila mimi sitaki kufanya kazi na mtu ambaye hajielewi. Ukifanya kazi na mtu ambaye hajielewi ipo siku atafanya mambo ya ovyo na tutoe mimacho tunamshangaa. Nimesema Simtaki Ajibu kwenye timu yangu aende kwenye timu ambazo hawajielewi"
12/06/2019
Mchezaji wa Crystal Palace "Aron Wan Bissaka" amewaeleza mabosi wake kua anahitaji kujiunga na Man utd Ingawaje hajatuma taarifa ya maandishi kwa mabosi hao.
Inaelezwa kua ameingiwa na wasiwasi juu ya uhamisho wake baada ya kuona dau la £40M limekataliwa na Crystal Palace.
12/06/2019
.
Klabu ya FK Renova inayoshiriki ligi kuu ya nchini Macedonia barani Ulaya imempa ofa golikipa wa klabu ya Yanga, Ramadhani Kabwilj ya kwenda kufanya majaribio ya wiki mbili kuanzia June 24 . Klabu hiyo imesema itamgharamikia Kabwili nauli ya Ndege, Chakula na malazi kwa wiki zote mbili ambazo atakuwa huko. Mkataba wa kabwili na Yanga unaisha mwisho wa mwezi huu.
12/06/2019
WALIOTEMWA TAIFA STARS AFCON 2019
1.Shiza Kichuya-PHARCO
2.Kelvin John-U-17
3.Fred Tangalu-LIPULI FC
4.Clayro Boniphace-U-20
5.Suleiman Salula-MALINDI FC
6.Abdi Banda-BAROKA FC
7.Shaban Iddi Chilunda-TENERIFE
8.Miraj Athuman-LIPULI FC
9.David Mwantika-AZAM FC
Kikosi kamili cha Wachezaji 23 wa Stars.
11/06/2019
Imeripoti kuwa Klabu ya Kaizer Chiefs imeanza kuwinda saini ya kiungo mkabaji wa Simba, James Kotei ambaye amehusishwa kuachwa na klabu ya Simba SC.
11/06/2019
Jina la mchezaji nyota mshambulija wa Yanga Sc Ibrahim Ajibu bado lipo katika orodha ya wachezaji wawili wazawa ambao wanaweza kusajiliwa na klabu ya Simba Sc licha ya taarifa za Ajibu kusaini mkataba mpya Yanga ni Shaban Idd Chilund na Ibrahim Ajibu wachezaji wawili wazawa wanaoweza kusajiliwa na Simba Sc.