19/12/2023
https://youtu.be/-i9SJonpNZA?si=vi-W-xfQp9ZBSxN3
Magoli Simba SC Vs Wydad AC FT Simba SC 2-0 Wydad Casablanca || Magoli yote Ya W***y Onana vs Wydad
Sports News || History|| Transfer|
Soka kwa wote Instagram & Twitter : @Michezo780
19/12/2023
https://youtu.be/-i9SJonpNZA?si=vi-W-xfQp9ZBSxN3
Magoli Simba SC Vs Wydad AC FT Simba SC 2-0 Wydad Casablanca || Magoli yote Ya W***y Onana vs Wydad
02/12/2023
https://youtu.be/tDO0F4hAC64?si=w-r1d57ICZ78_CdV
Magoli yote FT || Yanga SC 1-1 Al Ahly || Goli la Pacome Zouzoua dhidi Ya Al Ahly || Goli la Al Ahly
02/12/2023
Kikosi cha Yanga SC kinachocheza mchezo wa Leo dhidi ya Al Ahly.
Jiunge nasi Telegram channel link hipo kwenye BIO au gusa ππΎππΎ
t.me/nbcpremierleague
02/12/2023
FULL TIME CAF CHAMPIONS LEAGUE
Jwaneng Galaxy 0-0 Simba SC
Jiunge nasi Telegram channel link hipo kwenye BIO au gusa ππΎππΎ
t.me/nbcpremierleague
02/12/2023
FULL TIME NBC PREMIER LEAGUE LEO
KMC FC 3-2 Mashujaa FC
Awesu Awesu β½οΈ
Wazir Jr β½οΈ
Abdulnassir Assa β½οΈ
Adam Adam β½οΈ
Daruweshi Saliboko β½οΈ
Jiunge nasi Telegram channel link hipo kwenye BIO au gusa ππΎππΎ
t.me/nbcpremierleague
02/12/2023
Kikosi cha Simba SC Tanzania kinachoanza leo.
30/11/2023
Rais wa klabu ya Yanga SC, Eng Hersi, amechaguliwa kuwa M/Kiti wa Bodi ya Chama cha Vilabu vya Afrika (ACA).
Eng Hersi Said anakuwa ndio Mwenyekiti wa Kwanza wa Chama hicho cha Vilabu vya Afrika (ACA).
30/11/2023
Klabu ya Tabora United imetoa Jezi zao mpya watakazotumia kuanzia kwenye michezo yao yote iliyobaki msimu huh 2023/2024.
Rangi ipi imekuvutia na kuipenda ?
Jiunge nasi Telegram channel link hipo kwenye BIO au gusa ππΎππΎ
t.me/nbcpremierleague
30/11/2023
Wachezaji wanne wa KMC FC wameteuliwa kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi wa kikosi cha timu hiyo baada ya kuonyesha kiwango kizuri.
1. Denis Richard (Golikipa)
2. Rahim Shomary (Beki)
3. Ismail Gambo (Beki / Kiungo)
4. Pascal Musa (Kiungo)
Unampa nani Tuzo hiyo ?
Jiunge nasi Telegram channel link hipo kwenye BIO au gusa ππΎππΎ
t.me/nbcpremierleague
30/11/2023
Wachezaji wa Yanga SC waliyochaguliwa kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa kikosi cha timu hiyo.
1. Khalid Aucho (Kiungo)
2. Pacome Zouzoua (Kiungo)
3. Clement Mzize (Mshambuliaji)
Je, nani mchezaji bora kwa upande wako ?
Unaweza kupiga Kura yako kupitia App ya Yanga SC.
Jiunge nasi Telegram channel link hipo kwenye BIO au gusa ππΎππΎ
t.me/nbcpremierleague
28/11/2023
Klabu ya Simba SC imemtangaza Farid Zemiti kuwa Kocha msaidizi wa Kikosi hicho akisaidiana na Kocha mkuu Abdelhak Benchikha.
Jiunge nasi Telegram channel link hipo kwenye BIO au gusa ππΎππΎ
t.me/nbcpremierleague
28/11/2023
Klabu ya Simba SC imetangaza kuwa Kocha mkuu wa Kikosi hicho Abdelhak Benchikha amewasili nchini Usiku wa kuamkia Leo na kupokelewa na CEO Imani Kajula.
Abdelhak Benchikha anachukua nafasi Ya Roberto Oliviera ambaye waliachana naye.
Jiunge nasi Telegram channel link hipo kwenye BIO au gusa ππΎππΎ
t.me/nbcpremierleague