09/05/2026
nmeelza watu na hata kueka video ili kuonyesha fofana hajagusa ila sieleweki
🤣🤣
HABARI ZOTE ZA CHELSEA KWA LUGHA YA KISWAHILI. [@Chelsea_Swahili]
|Follow Us|✓
09/05/2026
nmeelza watu na hata kueka video ili kuonyesha fofana hajagusa ila sieleweki
🤣🤣
09/05/2026
tumetoka na alama moja baada ya sare ya 1-1
UNA KIPI CHAKUSEMA BAADA YA MTANANGE HUU
COLWILL anaonekana ana maumivu ila ametoka Santo's na kuingia james.
acha tuone lisiwe jeraha tunamhitaji sana
SANTOS ANATOKA ANAINGIA JAMES
dakika 63
1-1
09/05/2026
GO GOGO GO
GOOOOAAAL
.... SUPER COOL COLD PALMER ANAEKA BAO ila V.A.R inatowa inakuwa ni offside
dakika ya 51
09/05/2026
kipindi cha pili KIMEANZA..hakuna badiliko lolote
09/05/2026
kipindi cha kwanza kimekamilika kwa sare ya 1-1
bao la Chelsea limefungwa na ENZO .
JE UNA MAONI GANI?
09/05/2026
KIKOSI CHA LEO 🚨🚨🚨
mabadiliko 5 toka kikosi KILOANZA DHIDI ya FOREST
una MAONI GANI?
08/05/2026
BREAKING 🚨 🚨
McFarlane amethibitisha kuwa Neto na Garnacho wana majeraha madogo (knocks) na huenda wasicheze dhidi ya Liverpool. Rob ameondolewa kabisa!
Calum McFarlane:
“Neto na Garnacho wana majeraha madogo, hivyo inaonekana hawatakuwepo [kwenye mechi dhidi ya Liverpool.
🗣️[Sanchez] hatapatikana na Jorgensen atachukuwa nafasi yake.”
05/05/2026
🚨🎙️ | Thomas Tuchel kuhusu Cole Palmer baada ya Chelsea FC kufungwa 3–1 na Nottingham Forest:
“Kwa sasa, Cole Palmer anaonekana k**a kivuli cha yeye mwenyewe. Ubunifu, kujiamini na ukali kwenye eneo la mwisho—vyote havipo. Alikosa penalti kwenye wakati ambao Chelsea walihitaji kiongozi wao ajitokeze. Huo ndio ukweli wa soka la kiwango cha juu, nafasi k**a hizo ndizo huamua mechi.
Kombe la Dunia linakaribia, huu si wakati wa kupotea kwenye mechi kubwa. Yeye ndiye mchezaji ambaye Chelsea wanamtegemea kubadilisha mchezo, lakini leo hakufanya hivyo. Hakuna anayebisha kipaji chake, lakini ninachoona sasa ni kiwango cha chini k**a cha Championship.
Chelsea walihitaji achukue jukumu, lakini kwa bahati mbaya hakufanya hivyo.”
05/05/2026
Thiago Silva amesema:
“Baada ya kupoteza mechi k**a hii Stamford Bridge, lazima mtu aseme ukweli. Wamiliki wanapaswa kujilaumu kwa hali ilipo Chelsea FC leo. Huwezi kuendelea kufanya maamuzi mabaya, kubadilisha makocha mara kwa mara, na kutumia pesa nyingi kwa wachezaji bila mwelekeo sahihi halafu utegemee mambo yatakwenda vizuri tu.
Chelsea ni klabu kubwa sana, lakini kwa sasa inaonekana hakuna mpango wa wazi. Mashabiki wanateseka, wachezaji wako kwenye presha kubwa, na matokeo yanaonyesha wazi kabisa klabu inaelekea wapi k**a hakuna mabadiliko yatafanyika.” 👀💙🔥