30/08/2026
:
🗣️ Xabi Alonso:
“Ni ushindi muhimu kwetu. Tulianza mchezo vizuri sana na tulistahili kuongoza kwa tofauti kubwa ya mabao.”
“Lakini baada ya kufunga mabao matatu, tulipoteza udhibiti wa mchezo na tukawapa Brighton nafasi ya kurudi.”
“Tunapaswa kujifunza kutokana na hili. Tunahitaji kuwa bora zaidi katika kudhibiti mchezo tunapokuwa mbele.”
“Brighton ni timu nzuri na walituweka kwenye presha kubwa. Mwisho wa siku, jambo muhimu ni kwamba tumepata pointi tatu.”
“Tunafurahia ushindi, lakini tunajua kuna mambo mengi ambayo tunapaswa kuyaboresha.”
30/08/2026
FT CHELSEA 4-3 BRIGHTON
JE UNA MAONI GANI KUHUSU MECHI HII YA LEO
unaeza join group la Chelsea kwa MAONI na update zengine
Kutana na mashabiki wengine wa CHELSEA
Link 🖇️ 👇👇
https://chat.whatsapp.com/GO9Tw4bns5IG16203nipYS?s=cl&p=a&ilr=4
30/08/2026
Brighton wanapata bao la 3.....Inakuwa 4-3
Mpira UMEISHA
30/08/2026
🚨🚨 BREAKING 🥲😭
CAICEDO ameumia na nafasi yake imechukuliwa na BARCO
30/08/2026
Go go go goooooaaaall
Palmer anafunga bao kali sana....4-2. Dakika 74
30/08/2026
Kipa anatuokoa tena... Nyama imekuwa ngumu sana... CAICEDO na James wameingia... kocha towa gusto aingie BARCO
30/08/2026
Kocha hali ishakuwa ngumu, leta CAICEDO, barco, ACHEAMPONG na James plz
30/08/2026
Ishakuwa balaa.... Wanapata bao la tatu.
Martinez amefanya kazi kubwa ila haikutosha dakika 64
30/08/2026
Neto na Palmer wanakosa nafasi za wazi.. DAKIKA 59
30/08/2026
Fofana anapata kadi ya njano
Brighton wamekuja moto sana, CAICEDO anafaa kuingia kuzima huo moto