22/07/2025
The Official page of the Kiwira Basketball
-Impacting lives through Basketball
~Focus on FUNDAMENTALS first
-
22/07/2025
13/07/2025
Wema (wearing a blue Jacket and a red beanie)
Neema (Dribbling the basketball)
Watching these little girls play breaks me.
They have big dreams but no means to stay in school.
Iβm just a broke coach trying to help, but I canβt do it alone.
If you can support their education in any way, please reach out.
They deserve a chance.
Tanzania
24/03/2025
Rungwe High school, 2011 with / Coach g
08/01/2025
Rest in Eternal peace Legend
19/06/2024
Rising to every challenge, you show what true dedication looks like. Your commitment to the game and your teammates is inspiring. Just last year, you were competing in UMITASHUMTA in primary school, and now you're excelling in UMISSETA, managing the court with confidence and skill far beyond your years. Keep pushing forward, breaking new ground, and leading by example. Your future is incredibly bright πͺπΎπππ
with .repost
γ»γ»γ»
MASHINDANO YA UMISSETA 2024 YAANZA TABORA
OR-TAMISEMI
Mashindano ya umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) yameanza rasmi Mkoani Tabora leo tarehe 17 Juni, 2024 Mjini Tabora, yakishirikisha wanamichezo mbalimbali kutoka Mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani.
Mashindano ya mwaka huu ambayo yanafanyika mkoani Tabora kwa mara ya tatu mfululizo, yanatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, kutokana na uboreshwaji wa miundombinu uliofanywa na Serikali hususana kwenye eneo la viwanja.
Kwenye baadhi ya michezo iliyochezwa leo kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari Tabora wavulana, Timu ya Mpira wa kikapu Wavulana ya Mkoa wa Mbeya ilianza vizuri mashindano ya mwaka huu kwa kiufunga Dodoma 51-29.
Katika mchezo mwingine Kilimanjaro ilipata ushindi wa vikapu 28 -13 dhidi ya Mkoa wa Pwani, na Kigoma ikapoteza dhidi ya Singida kwa jumla ya vikapu 48-14, na mchezo mwingine uliozikutanisha Mara na simiyu ulimalizika kwa Mara kuika na ushindi wa 23-20.
Kwa upande wa Mpira wa Wavu Wasichana, Katavi iliifunga Rukwa kwa Seti 3-0 na Manyara ikaifunga Dodoma 3-0, na kwa Wavulana Arusha ikapoteza 3-0 kwa Dar es salaam huku Mara ikiishinda Mtwara Seti 3-2
Mashindano ya UMISSETA 2024 yanayofanyika Mkoani Tabora tangu mwaka 2022, yanaandaliwa na kuratibiwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI, ikishirikiana na Wizara ya Utamaduni Sanaa na michezo, na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia.
Kauli mbiu ya Mashindano ya mwaka huu inaasema βTunajivunia mafanikio katika sekta ya elimu, michezo na Sanaa, Hima mtanzania shiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024β
12/06/2024
11/06/2024
Back to back to back Championsππππππ
25/05/2024
Girls belong on the court, not the sidelines..π
27/04/2024
π¨οΈβ
17/04/2024
Coaches
17/04/2024
Embrace the power of girls' empowerment πͺπΎπͺπΎβΉπΎββοΈβΉπΎββοΈ
Inspired by Orkeeswa, join us on a transformative journey to create a future where every girl can thrive and succeed. The time for change is now!, be part of the movement!