DAR YOUNG AFRICAN SUPPORTERS

DAR YOUNG AFRICAN SUPPORTERS

Share

Nimeanzisha ukurasa huu kwa ajili ya mashabiki wa YANGA kupeana maoni mbalimbali ya michezo, naipenda YANGA. DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.

14/01/2021

TATIZO LENU MIKIA MNAJUA KUCHEZA MPIRA WA MDOMONI ILA MKIINGIA UWANJANI MNACHEZA SEGERE

10/01/2020

Hatimaye Simon Msuva ajiunga na klabu ya Benificaa

20/09/2019
11/08/2019

NAIPENDA SANA YANGA TIMU YA WANANCHI 100% YAANI YANGA SC

12/02/2019

Mtu akikuambia kaa vizuri ujue kashaakuona.
Swali kwako amekuona nini?

16/01/2019

Yanga hii hainaga masiala na mtu. K**a we ni Mwanayanga comment Oyooooo!!!

10/12/2018

Wanayanga tunasota tu ingawa hatuna pesa lakini Mungu ni mwema kwetu, anatupenda. Najua ipo siku tutafutwa machozi yetu. K**a wewe ni mwanayanga usichoke kuisapoti timu yako, tujipe moyo tutafanikiwa tu.

17/10/2018

Mimi k**a Mwanayanga sijaona aliyeziba pengo la Msuva ktk klabu ya Yanga.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Mbeya?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


Mwalisi
Mbeya