27/08/2026
๐ฅ๐๐ฆ๐ ๐:
Mamelodi Sundowns itakutana na Al Ahli ya Saudi Arabia katika mchezo wa FIFA African-Asian-Pacific Cup.
Mchezo huo utapigwa Septemba 19, 2026, kwenye uwanja wa Loftus Versfeld Stadium, mjini Pretoria, Afrika Kusini.
Mshindi wa mchezo huu atatwaa taji la FIFA African-Asian-Pacific Cup na kutinga hatua inayofuata ya mashindano, FIFA Challenger Cup.
Mshindi wa hatua hiyo ataendelea na safari ya kuwania FIFA Intercontinental Cup, ambayo itafikia kilele kwa fainali dhidi ya Paris Saint-Germain, mabingwa watetezi.
Sundowns vs Al Ahli โ pambano la mabingwa wa Afrika na Asia!
26/08/2026
TUKUTANE KWENYE UPANGAJI WA MAKUNDI
26/08/2026
RASMI
VILABU 36 VITABUOCHEZA MASHINDANO YA KLABU BINGWA ULAYA HIVI HAPA
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ England: Arsenal, Aston Villa, Liverpool, Manchester City, Manchester United
๐ช๐ธ Spain: Atlรฉtico Madrid, Barcelona, Real Betis, Real Madrid, Villarreal
๐ฉ๐ช Germany: Bayern Munich, Borussia Dortmund, RB Leipzig, Stuttgart
๐ฎ๐น Italy: Como, Inter, Napoli, Roma
๐ซ๐ท France: Lens, Lille, PSG
๐น๐ท Turkey: Fenerbahรงe, Galatasaray
๐ต๐น Portugal: Porto, Sporting CP
๐ณ๐ฑ Netherlands: Feyenoord, PSV
๐ณ๐ด Norway: Bodรธ/Glimt, Viking
๐ฌ๐ท Greece: AEK Athens
๐ง๐ช Belgium: Club Brugge
๐ฆ๐น Austria: LASK
๐ฆ๐ฟ Azerbaijan: Sabah
๐บ๐ฆ Ukraine: Shakhtar Donetsk
๐จ๐ฟ Czechia: Slavia Prague
๐ธ๐ฐ Slovakia: Slovan Bratislava
14/08/2026
KOCHA MPYA ASIYE MZAWA WA UHORANZI
Xavi Hernandez anakuwa kocha wa kwanza kutoka nje ya viunga vya UHOLANZI tangu mwaka 1978 na mchezo wake wa kwanza utakuwa zidi ya Ujerumani
14/08/2026
BREAKING
Leo Habari njema kwa mashabiki wa Yanga SC.
Rasmi FIFA imeifungulia Yanga kufanya usajili.
Hii ni baada ya klabu kufanikiwa kulipa madeni limbikizi kwa wachezaji wasiotajwa.
Uongozi wa yanga umesema sasa timu itaendelea kujiimarisha kwa usajili wa mwisho.
14/08/2026
FULL TIME
SINGIDA BS 3-0 FOUNTAIN GATE