16/12/2023
USAJILI MPYA YANGA DIRISHA DOGO,,💛💚 Big Yes or No...??
Work hard Earn More! @Subo Sports
16/12/2023
USAJILI MPYA YANGA DIRISHA DOGO,,💛💚 Big Yes or No...??
16/12/2023
DEAL DONE ✅ YANGA SHEKHAN IBRAHIM
08/12/2023
KIKOSI CHA YANGA V'S MEDEAMA LEO...
18/11/2023
... 🚨 | 𝗝𝗘𝗔𝗡 𝗕𝗔𝗟𝗘𝗞𝗘
Mshambuliaji, Jean Baleke anamaliza mkataba wake wa mkopo wa mwaka mmoja ndani ya Simba SC December 2023.
Baleke (24) anamkataba hadi 2026 na klabu ya TP Mazembe 🇨🇩, klabu hiyo inataka kumrejesha katika kikosi chao.
Simba SC wako kwenye mazungumzo na TP Mazembe 🇨🇩 wakihitaji kumnunua moja kwa moja. Bado hakuna muafaka.
18/11/2023
Msauzi wa Yanga balaa! Video Analyst Msaidizi wananchi wanautaka ubingwa CAFCL
17/11/2023
TOP 5 AFRICA...
16/11/2023
𝗘𝗡𝗝𝗢𝗬 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗡𝗖𝗛𝗜𝗜𝗜𝗜 DEAL DONE ✅✅✅
Tambeni,,vimbeni Wananchi rais Eng Hersi Ally Said kashamaliza kazi leo.Dirisha dogo hili tunashusha mshambuliaji hatari tumevunja mkataba na wala sio free agent K**a yule MVP wa Rwanda msimu uliopita
✊ page hii uwe wa Kwanza Kupata habari zote za Usajili...deal ✅✅✅
16/11/2023
𝗞𝗨𝗧𝗢𝗞𝗔 𝗜𝗙𝗙𝗛𝗦
Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) limetoa takwimu ya viwango vya klabu kwa kipindi cha Novemba Mosi, 2022 hadi Oktoba 31, 2023 ambapo kwa Tanzania klabu ya Yanga inashika nafasi ya 4 kwa Afrika na 53 duniani kutoka 60 huku Simba ikishika nafasi ya 13 Afrika na 154 duniani kutoka 148.
10 bora Afrika ipo hivi;
1. Al Ahly
2. Wydad Casablanca
3. Pyramids FC
4. Yanga SC
5. Mamelodi Sundowns
6. Raja Casablanca
7. FAR Rabat
8. CR Belouizdad
9. Zamalek SC
10. Esperance's
16/11/2023
GOLIKIPA PEKEE ALIYESALIA AVIC TOWN
K**a Ilivyo Kwa Makipa wao wote watatu wapo kwenye majukumu ya Timu zao za TAIFA, Mdaka Mishale Yupo Mali na Mshery,Metacha Taifa stars huyu 👇👇 ndio Kipa ALIYESALIA pale AVIC Akitokea Burundi Na Aliomba kufanya mazoezi na yanga..
sio Usajili anajinoa tuu pale Jangwani
05/11/2023
KIKOSI CHA SIMBA LEO 👇👇🦁🦁