Mrutu Agro-Solutions Company Limited

Mrutu Agro-Solutions Company Limited

Share

WHO WE ARE?

We are a Multi-Agribusiness Company, we do Agribusiness Development and Consultancy, Contract Farming, value addition, farm management services, Farmers training, and other agricultural related support services depending on customers needs.

Photos from Mrutu Agro-Solutions Company Limited's post 08/04/2025

*MREJESHO*
Nimefanikiwa kushiriki “Tamasha la Uamsho na Kujitambua kwa Wanafunzi SUA -Morogoro Mjini” lililofanyika kwa siku mbili ambazo zilikuwa ni tarehe 05/04/2025 katika ukumbi wa Freedom Square Kampasi ya Solomon Mahlangu na tarehe 07/08/2025 katika ukumbi wa Multipurpose hall Kampasi ya Edward Moringe (SUA Main Campus).

Mimi, Philipo Fahamuel Mrutu, nilikuwa mwezeshaji kwenye mada ya: UJASIRIAMALI NA MAISHA BAADA YA CHUO kwenye tamasha hilo. Pamoja na mambo mengine, nilitoa elimu juu ya mambo ya msingi ya kuzingatia ili kuwa wajasiriamali wenye mafanikio, nilitoa mifano halisi ya jinsi nilivyo anza na hadi sasa tunavyo endelea, pamoja na kujenga msingi wa wajasirikilimo wenye mafanikio tukiangazia fursa zilizopo kwenye mnyororo mzima wa thamani hususani katika Kilimo hapa Tanzania, Afrika na Dunia nzima kwa ujumla.

*Wito*: Pamoja tujenge dhana ya UJASIRIAMALI uwe msingi imara wa kujitegemea, kupunguza changamoto ya ukosefu wa ajira, kujenga uchumi imara kwa maendeleo endelevu.

Je, unahitaji twende pamoja hatua kwa hatua katika safari yako ya Ujasirikilimo? Usisite kuwasiliana nasi, WhatsApp #: +255753442903, Email: [email protected], / [email protected], Website: www.mrutuagrosolutions.co.tz
https://wa.me/c/255753442903

Photos from Mrutu Agro-Solutions Company Limited's post 07/02/2025

*SEMINA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI*

Juzi jumatano tarehe 5/02/2025 timu ya wataalamu kutoka Mrutu Agro-Solutions Co.Ltd (MAS), ambao ni Philipo Mrutu, Yusuf Juma na Robert Jonathan walitoa semina kwa wakulima na wafugaji wa Kijiji cha Naberera, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara. MAS pamoja na mambo mengine, tunasaidia wakulima, wafugaji na wadau wengine kwenye mnyororo wa thamani kupitia mafunzo mbalimbali ya muda mfupi ili kuwajengea uwezo na kuwapa suluhisho makini kwenye changamoto mbalimbali.

Daktari wa mifugo Dkt. Juma Yusuf aliwapa elimu na mbinu za Ufugaji kibiashara na msisitizo mkubwa ulikuwa kwenye kuzingatia kanuni za ufugaji wenye tija ikiwa ni pamoja na biashara ya kunenepesha mifugo, ufugaji wa ng'ombe wa kisasa wa maziwa na kuanzisha mashamba ya majani ya malisho.

Mtaalamu wa kilimo cha ufugaji wa samaki Bw. Robert Jonathan alitoa elimu na hamasa ya ufugaji wa samaki akisema kuwa binadamu hutegemea kupata takribani 40% ya protini kutokana na samaki, vyanzo vya asili havitoshelezi mahitaji na mahitaji yanazidi kuongezeka kadiri idadi ya watu inavyozidi kuongezeka hivyo ufugaji wa samaki ni fursa nzuri ya biashara inayoweza kuwaingizia watu kipato.

Mkurugenzi wa MAS ndugu Philipo Mrutu ambaye pia ni mtaalamu wa sayansi ya Uchumi Kilimo na Kilimo Biashara alielezea jinsi ambavyo kampuni imejipanga kuwahudumia wadau mbalimbali ikiwemo wakulima na wafugaji kutokana na mahitaji yao waliopo vijijini na hata wa mijini ndio maana wamefika baada ya mwaliko huo kupitia mwenyekiti wa Chama cha Mazingira na Ufugaji Tija Tanzania (CHAMAUTA) Mkoa wa Manyara ndugu Naftal Samweli. Washiriki wa mkutano pia walielimishwa juu ya umuhimu wa kutunza kumbukumbu, mbinu za kuongeza thamani na Tija, maandiko ya miradi na fursa za mitaji kutoka taasisi mbalimbali za kifedha nchini na elimu ya ujasiriamali.

Kwa mahitaji ya semina na mafunzo ya muda mfupi, huduma na bidhaa mbalimbali kuwezesha kufuga na kulima kibiashara wakulima, wafugaji na wadau mbalimbali wanakaribishwa kushirikiana katika kusaidia kuleta mabadiliko chanya na maendeleo kupitia fursa mbalimbali zinazo tuzunguka.

Sambamba na hayo, kampuni ya MAS inatoa huduma na bidhaa mbalimbali ili kusaidia wakulima na wafugaji kuongeza tija kwenye shughuli zao, kupunguza gharama, kuwaunganisha na fursa za masoko ya ndani na nje ya Tanzania, kuwaunganisha na taasisi za kifedha kupata mitaji kuongeza faida na kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi k**a ifuatavyo:-

✍️Upatikanaji wa Miche bora ya matunda, miti, kivuli, mbao, maua, mbegu ya Majani ya mifugo k**a vile Neppier, Molato, n.k ( _Seedlings production & Supply_ )

✍️Kuwatembelea wadau na kutoa ushauri wa kitaalamu ( _farm visiting, farm planning, farm layout, farm design, Agro consultancy, ect_ )

✍️Kupimiwa udongo kwenye shamba lako ( _soil testing &analysis_ )

✍️Ujenzi wa mifumo ya umwagiliaji shambani mwako ( _installation of Irrigation system ie. Sprinklers, drip irrigation system ect_ )

✍️Ujenzi wa vitalu nyumba ( _installation of greenhouse and solar dryers_ )

✍️Ujenzi wa mabanda ya mifugo k**a ng'ombe, mbuzi, kuku, kondoo, nguruwe, n.k.( _Construction activities_ )

✍️Huduma ya kupandiwa miche shambani, _planting, prunning,_ n.k.

✍️Kuandikiwa mpango wa biashara ( _andiko la mradi ili kupata mkopo kwenye taasisi za kifedha au kwa matumizi mengine k**a ufadhili au kupata wadau / wabia wa Biashara na Uwekezaji_ )

✍️Mafunzo ya kujiandaa kustaafu ( _Kwa walio ajiriwa namna ya kujiandaa kustaafu na tunawapa huduma endelevu_ )

✍️Mafunzo ya kilimo biashara na ujasiriamali kwa vikundi, taasisi, vijana, wanawake, wanaume, n.k.

✍️Kuanzisha mashamba darasa kwenye shule za msingi, sekondari, vyuo n.k

✍️Huduma ya usimamizi wa miradi ya kilimo, Ufugaji n.k ( _Upatikanaji wa vijana wa SHAMBA au Usimamizi Kimkataba_ )

✍️Huduma ya Ujenzi wa mabwawa ya samaki, na huduma zingine zote k**a vifaranga wa samaki, chakula, ushauri, masoko n.k.

✍️Kufanya Kilimo cha Mkataba Kibiashara

✍️Upatikanaji wa mashamba n.k

✍️Huduma zingine zinazo endana na kilimo biashara, Ufugaji, Uvuvi na Ujasiriamali k**a vile uchimbaji wa visima virefu n.k.

✍️ Upatikanaji wa mbegu Bora za Ufugaji wa Ng'ombe, Nguruwe, Kuku, Kondoo, Bata, Kanga n.k

✍️ Huduma ya masoko ya bidhaa na mazao yatokanayo na Kilimo Mazao, Mifugo, Uvuvi na Misitu

✍️Huduma ya kupima shamba na kupata hati miliki

✍️ Huduma saidizi za Kilimo Biashara kutokana na mahitaji ya mteja k**a vile usaidizi wa kusajili kampuni, jina la biashara, NGOs, n.k.

✍️Usambazaji wa Mitambo mbalimbali, Mashine na Pembejeo zote za Kilimo na Mifugo ikiwemo Trekta, Planter, mbegu, viuatilifu na mazao /bidhaa za kilimo na Mifugo, n.k

✍️ Huduma na shughuli za Ukandarasi, ubunifu, usimamizi na utekelezaji wa miradi ya Kilimo na Ufugaji.

*_"Suluhisho makini kwa Uwekezaji Katika Kilimo Biashara, Ufugaji bora, Uvuvi na Ujasiriamali kwa Maendeleo Endelevu"_*

*Mrutu Agro-Solutions Co. Ltd*,
Simu: *0753442903📞*
Email: *mrutu.agrosolutions .com*

Angalia Catalog hapa👇👇👇
https://wa.me/c/255753442903;
Website: www.mrutuagrosolutions.co.tz

24/01/2025

Kwa neema ya Mungu, Kwa nafasi yangu pia ya Ubalozi wa maswala ya Kilimo na Chakula Afrika, nitakuwa kati ya wazungumzaji kwa njia ya mtandao kwenye mada ya : *Kufungua Fursa ndani ya Kilimo Kwa Kizazi Kijacho!* Tarehe: 28/01/2025 saa 11:00 Jioni.

Karibu ujiandikishe kushiriki nasi kupitia hapa👉 .
*Napokea maoni yako, nini unataka tuzingatie katika mada hii?*
Ningependa uniandikie maoni yako juu ya Ujasirikilimo kwa Vijana wa Kiafrika na nini kifanye, tuma ujumbe mfupi wa maneno kwa simu: 0753442903 au email: [email protected] / [email protected]

Photos from Mrutu Agro-Solutions Company Limited's post 23/01/2025

*Programu yetu ya Shamba Kwa shamba pori Kwa pori mradi Kwa mradi* ... *inaendelea* ... ili kuwafikia wakulima, wafugaji na wadau wengine ili kuwapa " _Suluhisho Makini_ " ambapo leo tarehe 23/01/2025 tumefanikiwa kumtembelea mdau wetu ambaye analima Kilimo cha mitiki na Ufugaji wa nyuki Kibiashara.Tumemtembelea ili kujua hali ya shamba, maendeleo, changanoto na fursa zikizopo ili kumshauri na kumpa huduma endelevu kufikia malengo yake hatua kwa hatua. Bado fursa za Kilimo Biashara zipo nyingi mno kwenye Mnyororo wa thamani... _kupanga ni kuchagua (Tunatoa huduma zote za Kilimo Biashara, One stop Shop(*Full Package*)_ .

*Kwa mpango kazi wako wa mwaka huu, Je, ni huduma au bidhaa gani unahitaji kati ya hizi kufikia malengo yako ya Kilimo Biashara ndani ya 2025 tukusaidie haraka kwa ufanisi zaidi?:-*

✍️Kukutembelea kwa ushauri wa kitaalamu ( _farm visiting, farm planning, farm layout, farm design, Agro consultancy, ect_ )
✍️Miche bora ya matunda, miti, kivuli, mbao, maua, viungo, mbegu ya Majani ya mifugo k**a vile Neppier, Molato, n.k ( _Seedlings production & Supply_ )
✍️Huduma ya kupandiwa miche shambani, _planting, prunning,_ n.k.
✍️Kukupimia udongo kwenye shamba lako ( _soil testing &analysis_ )
✍️Ujenzi wa mifumo ya umwagiliaji shambani mwako ( _installation of Irrigation system ie. Sprinklers, drip irrigation system ect_ )
✍️Ujenzi wa vitalu nyumba ( _installation of greenhouse and solar dryers_ )
✍️Ujenzi wa mabanda ya mifugo k**a ng'ombe, mbuzi, kuku, kondoo, nguruwe, n.k.( _Construction activities_ )
✍️Kuandikiwa mpango wa biashara ( _andiko la mradi ili kupata mkopo kwenye taasisi za kifedha au kwa matumizi mengine k**a ufadhili (Grant) au kupata wadau / wabia wa Biashara na Uwekezaji_ )
✍️Mafunzo ya kujiandaa kustaafu ( _Kwa walio ajiriwa namna ya kujiandaa kustaafu na tunawapa huduma endelevu_ )
✍️Mafunzo ya kilimo biashara na ujasiriamali kwa vikundi, taasisi, vijana, wanawake, wanaume, n.k.
✍️Kuanzisha mashamba darasa kwenye shule za msingi, sekondari, vyuo n.k
✍️Huduma ya usimamizi wa miradi ya kilimo, Ufugaji n.k ( _Upatikanaji wa vijana wa SHAMBA au Usimamizi Kimkataba_ )
✍️Huduma ya Ujenzi wa mabwawa ya samaki, na huduma zingine zote k**a vifaranga wa samaki, chakula, ushauri, masoko n.k.
✍️Kufanya Kilimo cha Mkataba Kibiashara
✍️Upatikanaji wa mashamba n.k
✍️Huduma zingine zinazo endana na kilimo biashara, Ufugaji, Uvuvi na Ujasiriamali k**a vile uchimbaji wa visima virefu n.k.
✍️ Upatikanaji wa mbegu Bora za Ufugaji wa Ng'ombe, Nguruwe, Kuku, Kondoo, Bata, Kanga n.k
✍️ Huduma ya masoko ya bidhaa na mazao yatokanayo na Kilimo Mazao, Mifugo, Uvuvi na Misitu
✍️Huduma ya kupima shamba na kupata hati miliki
✍️ Huduma saidizi za Kilimo Biashara kutokana na mahitaji ya mteja k**a vile usaidizi wa kusajili kampuni, jina la biashara, NGOs, n.k.
✍️Usambazaji wa Mitambo mbalimbali, Mashine na Pembejeo zote za Kilimo na Mifugo ikiwemo Trekta, Planter, mbegu, viuatilifu na mazao /bidhaa za kilimo na Mifugo, n.k
✍️ Huduma na shughuli za Ukandarasi, ubunifu, usimamizi na utekelezaji wa miradi ya Kilimo na Ufugaji.

*_"Suluhisho makini kwa Uwekezaji Katika Kilimo Biashara, Ufugaji bora, Uvuvi na Ujasiriamali kwa Maendeleo Endelevu"_*

*Mrutu Agro-Solutions Co. Ltd*,
Simu: *0753442903📞*
Email: *mrutu.agrosolutions .com*

Angalia Catalog hapa👇👇👇
https://wa.me/c/255753442903;
Website: www.mrutuagrosolutions.co.tz

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Morogoro?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Address


P. O. BOX 16, MOROGORO
Morogoro

Opening Hours

Monday 00:00 - 23:59
Tuesday 00:00 - 23:59
Wednesday 00:00 - 23:59
Thursday 00:00 - 23:59
Friday 00:00 - 23:59
Saturday 00:00 - 23:59
Sunday 00:00 - 23:59