01/06/2026
Watu mnalishana mitango poli kila siku eti Simbasc inamtaka GIRUMUGISHA hivi gharama yake mnaijua au mnataka kuleta presha kwa mashabiki yaani Simbasc ipambane na Al Ahaly kwenye saini ya GIRUMUGISHA, acheni hizo huyo mchezaji anagharama kubwa sana na kwa vilabu vya Tanzania kwasasa sioni wa kumleta huyo dogo labda tuseme akichuja ndiyo tutamleta.
#๐๐ช๐ฎ๐ฃ๐ข๐ด๐ค
30/05/2026
K**a umemtambua mtaje yaani huyo ndiyo mchafuaji pale beki ya serengeti U17 ni balaa huyo dogo , haya mtaje ni bonge la beki pale Simbasc yupo kwenye majukumu ya kitaifa kule Morocco na tarehe mbili atakiwasha tena fainali zidi ya Senegal. ๐๐๐๐๐๐
#๐๐ช๐ฎ๐ฃ๐ข๐ด๐ค
29/05/2026
Viongozi wetu tunawajua wengi wenu mnapenda sifa baada ya kuona timu imefika pazuri , sasa tunawaomba hatutaki kuona mnaenda kuleta sijui motisha na ahadi zisizo na maana ahadi zinazo watoa wachezaji mchezoni ombi langu waacheni makocha na benchi la ufundi wamalize mashindano bila kuwaingilia na bonus zenu za presha please ujuaji hatutaki kaeni nyumbani msubiri kombe lifike ili muende airport kuwalaki vijana wetu. Vamoos serengeti boys ๐ฆ ๐ ๐ช โค๏ธ โฅ๏ธ ๐๐ผ ๐ฆ
#๐๐ช๐ฎ๐ฃ๐ข๐ด๐ค #๐๐ข๐ฑ๐ฆ๐ด๐ข๐ฉ๐๐ฑ๐ฐ๐ณ๐ต๐ด๐๐ฑ๐ฅ๐ข๐ต๐ฆ
26/05/2026
Hivi ile ahadi ya Jayrutty kuhusu Basi la klabu mbona mwanetu amekaa kimya au hadi tununue jezi tanotano kila mwanachama na mashabiki wa klabu ya Simba sc , maana tajili alisema litatua mwezi 11, lakini kimya haya akasema mwezi wa nne mwaka huu lakini napo kimya sasa hivi ndiyo kimya kabisa , tajili tupe ahadi nyingine mpya tena kazi yetu ni kukumbusha tu .๐๐๐๐๐๐
#๐๐ช๐ฎ๐ฃ๐ข๐ด๐ค
25/05/2026
๐๐๐๐๐๐๐
#๐๐ช๐ฎ๐ฃ๐ข๐ด๐ค
24/05/2026
Full time
Simba sc 1-0 Dodoma jiji
Mpanzuโฝ
24/05/2026
Full time Simba sc 1-0 Dodoma Jiji
#๐๐ช๐ฎ๐ฃ๐ข๐ด๐ค