Alliance TZ

Alliance TZ

Share

Timu iliyo ndani ya kituo cha michezo cha Alliance Sports Academy Mwanza-Tanzania

04/03/2026

Kumbe tunasoka safi, soka darasa na hamkusema hatujapenda

04/03/2026

What a goal 😂
Soka safi, soka darasa

03/03/2026

Kwani ni nini kimefanyika 😂

Iwe siku yenye kumbukizi njema kwa hisani ya Abdul Migomba (Nyau)

03/03/2026

Wanakemoramba tuna jambo letu kesho jumapili



02/03/2026





02/03/2026

"Misingi ya kituo chetu ni kulea na kukuza vipaji"

Na nidham ndio muhimili mkuu katika kituo chetu

Karibu kwa kuwaleta vijana wetu Alliance Sports Academy kwa taaluma nzuri ya mpira kutoka kwa makocha wabobezi


01/03/2026

Sarah Ezakiel miongoni mwa wanafunzi waliopita akizungumzia Alliance Day

01/03/2026

MWANZA

Zoezi la siku tatu la kusaka wachezaji wapya wa k**e kupitia Alliance Sports Academy Girls Bonanza limefikia ukomo leo, Februari 23, 2025.

Mchezo wa mwisho wa bonanza hilo ulikuwa kati ya Alliance na Igoma Queens, ambapo Alliance wameibuka washindi kwa ushindi mnono wa mabao 10-0.

Timu ya Alliance iliyoshiriki mchezo wa leo iliundwa na wachezaji waliochaguliwa katika siku ya kwanza na ya pili ya bonanza hilo.




28/02/2026

Afisa Habari Simon Kabwema akizungumzia majeruhi kwa upande wa timu timu ya Wasichana pamoja malengo ya kufanya Bonanza






28/02/2026

Training Time

27/02/2026

ALLIANCE DAY

Credit

26/02/2026

ALLIANCE DAY

CREDIT

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Mwanza?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address


Mahina
Mwanza