17/06/2017
Mke Mdogo Wa Mzee yusuph Bi Chiku Amefariki Usiku Huu Kutokana Na Uzazi
Innah lillah Waina Ilayhi Rajiuni
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Abou Tatai, Sports Event, Mwanza.
17/06/2017
Mke Mdogo Wa Mzee yusuph Bi Chiku Amefariki Usiku Huu Kutokana Na Uzazi
Innah lillah Waina Ilayhi Rajiuni
17/06/2017
Victor Linderlof Beki Mpya Wa Mashetani Wekundu
17/06/2017
Simba Sc imekanusha taarifa ya Ibrahim Ajib kuondoka Clabuni Hapo na kujiunga kwa watani wao wa Jadi Dar es Salaam Yanga Africa
17/06/2017
Kiungo wa Simba Jonas Mkude Leo hii Amesaini mkataba mpya wa Miaka 2
09/06/2017
Mbwana Samatta Anawatakia Ramadhan kareem
Tumeludi tena kuanza kazi Baada ya Muda mrefu kuwa kimya kutokana na matatizo ya kiufundi
tutaludi hivi karibuni ahsanten
Dk 25.Shinji Okazaki
Ft: Leicester city 1-0 Newcastle united
kesho ligi kuu Tanzania bara
Azam fc vs Stand united
Saa 10:30
Azam complex stadium
kikosi cha simba kitachoanza Leo dhidi ya mtibwa sugar
1.Vincent angban
2.Emery Nimuboma
3.Mohammed Tshabalala
4.Juuko Mursheed
5.Hasan Isihaka
6.Justice Majabvi
7.Jonas Mkude
8.Mwinyi Kazimoto
9.Peter Mwalyanzi
10.Ibrahim Ajib
11.Hamis Kiiza