Emmsport tv

Emmsport tv

Share

Sports news & events world wide.

28/10/2024

😆

17/11/2023

JE WAJUA!!!!
Timu ya Taifa ya Uruguay inakuwa timu ya kwanza chini ya kocha wao MARCELO BIELSA (68) kuifunga timu ya Taifa ya Argentina, baada ya timu ya Argentina kutopoteza michezo ishirini na tano (25) mfululizo.
Argentina wamepoteza kwa kufungwa magoli 2-0 wakati wa mechi ya kufuzu kwa kombe la Dunia Jana November 16
Vile vile ndio Mara ya kwanza toka mwezi wa kumi na moja(11) mwaka Jana 2022 kwa Nguli wa mpira wa miguu Lionel Messi kutokufunga Goli.

16/11/2023

BREAKING NEWS!!!!!
Rasmi sasa kiungo mchezaji wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ufaransa Eduardo Celmi Camavinga, ataukosa msimu mzima wa 2023 uliobaki kutokana na kuumia kwa goti pindi alipokuwa mazoezini na timu yake ya Taifa,,

15/07/2022

Christian eriksen rasmi amejiunga na klabu ya Manchester united kwa kandarasi ya miaka 3, mpaka mwezi wa 6, 2025.

Kiungo huyo mdenimaki alikuwa akichezea timu ya Brentford

14/07/2022

"Familia yangu ilikuwa masikini sana, binafsi sikuweza hata kujinunulia viatu vya kuchezea mpira. Mama yangu alikuwa akiwafulia watu nguo ili tu familia ipate chakula.Binafsi ninavyoona watoto wadogo wakihangaika, naona sinabudi ya kuwasaidia kwani inanikumbusha zamani yangu Mimi". Maneno ya Sadio mane.

Kwa sasa ni mchezaji wa club ya ujerumani Bayern Munich.

Na mchezaji wa afrika wa pili kulipwa pesa nyingi.

14/07/2022

NONDO; Wachezaji top 7 wanaongoza kuwa na magoli + assists nyingi ndani ya misimu mitatu ya ligi kuu ya uingereza (EPL) iliyopita.

(1) Mohammed salah (92)
(2) Harry Kane (83)
(3) Son heung-Min (78)
(4) Kevin de bruyne (74)
(5) Jemie vardy (69)
(6) Bruno fernandes(61)
(7) Sadio Mane (61)

11/07/2022

Kheri ya sikukuu ya kuzaliwa Amad diallo. Mu ivorycost kinda anayekipiga kunako timu ya Manchester united

Kwa sasa anatimiza miaka 20

11/07/2022

RASMI; Kocha mpya wa sasa wa Manchester united Erik ten hag amethibitisha kuwa Harry maguire ndiye atakaendelea kukiongoza kikosi chake uwanjani(captain) msimu ujao utakaoanza trh 5/8/2022.

Mechi ya kwanza ya Manchester united itacheza old Trafford trh 7/8/2022 wakiwakaribisha Timu ya Brighton majira ya saa 10:00 jioni

10/07/2022

Kikosi cha timu ya Real Madrid kikijiandaa kuelekea msimu mpya wa 2022/23 utakaoanza mwezi wa nane tarehe 12.

08/07/2022

MJUE; Angel Di Maria(34) ndiye kiungo kinara anayeongoza Mwenye jumla kubwa ukijumlisha magoli & assist katika mashindano ya vilabu bingwa barani ulaya ( UEFA champion league) kuanzia mwaka 2003/04 mpaka sasa

> anaongoza akiwa na jumla ya (54)
magoli (22) assist(32)

Anayemfuata ni Ricardo kaka(52), na
wa tatu ni Frank lampard(44), wa nne ni cesc fabregas (43) wa tano ni Arjen Robben(41).

08/07/2022

NONDO; wachezaji pekee katika ukufunzi wa kocha wa kimataifa na Mwenye ubora wake Pep Guadiola(51), ndio walioweza kufikisha magoli zaidi ya mia(100+);

>Lionel Messi magoli (211)
>Sergio Agüero magoli(124)
>Raheem sterling magoli(120)

04/07/2022

MJUE; Gianluigi Buffon(44) kipa nguli muitaliano aliyeweka rekodi ya dunia trh 4/7/2001 kwa kusajiliwa k**a golikipa mwenye dau kubwa( kiasi cha pauni milioni 52) mda huo, akitokea club ya parma.

Amecheza

Michezo 681
Clean sheets 322
Makombe 22.

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Mwanza?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Mwanza