03/03/2026
Lionel Messi ndiye ana magoli mengi zaidi kwenye soka bila kuhesabu penalti toka mwezi march 2026
Ana magoli 3 zaidi ya Cristiano Ronaldo, licha ya kucheza mechi 173 chache.
Lionel Messi ndiye bora kabisa kuwahi kutoka katika soka.
unafikiri nani atakaribia au kuvuja rekodi hiyo kwa hivi vizazi vinavyokuja?
usisahau kufollow Emmsport tv
for more updates.
26/02/2026
KUMBUKIZI;
LEO TRH 26/2 k**a ya leo mwaka 1999, kocha wa Manchester United, Sir Alex Ferguson alik**atwa na polisi akiwa anaendesha BMW yake kwenye barabara ya pembeni ya watumia miguu karibu na Manchester.
Kosa dogo, lakini kisicho cha kawaida alifikishwa mahak**ani Oktoba na Sir Alex akatoa hoja yake kwamba alikuwa akiwahi chooni kwa sababu alikuwa anaharisha. Mwisho aliondolewa mashtaka na kuachiwa.
18/02/2026
cup
wanamasumbwi wamepokea knockout round ya pili
FT.
17/11/2023
JE WAJUA!!!!
Timu ya Taifa ya Uruguay inakuwa timu ya kwanza chini ya kocha wao MARCELO BIELSA (68) kuifunga timu ya Taifa ya Argentina, baada ya timu ya Argentina kutopoteza michezo ishirini na tano (25) mfululizo.
Argentina wamepoteza kwa kufungwa magoli 2-0 wakati wa mechi ya kufuzu kwa kombe la Dunia Jana November 16
Vile vile ndio Mara ya kwanza toka mwezi wa kumi na moja(11) mwaka Jana 2022 kwa Nguli wa mpira wa miguu Lionel Messi kutokufunga Goli.
16/11/2023
BREAKING NEWS!!!!!
Rasmi sasa kiungo mchezaji wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ufaransa Eduardo Celmi Camavinga, ataukosa msimu mzima wa 2023 uliobaki kutokana na kuumia kwa goti pindi alipokuwa mazoezini na timu yake ya Taifa,,
15/07/2022
Christian eriksen rasmi amejiunga na klabu ya Manchester united kwa kandarasi ya miaka 3, mpaka mwezi wa 6, 2025.
Kiungo huyo mdenimaki alikuwa akichezea timu ya Brentford
14/07/2022
"Familia yangu ilikuwa masikini sana, binafsi sikuweza hata kujinunulia viatu vya kuchezea mpira. Mama yangu alikuwa akiwafulia watu nguo ili tu familia ipate chakula.Binafsi ninavyoona watoto wadogo wakihangaika, naona sinabudi ya kuwasaidia kwani inanikumbusha zamani yangu Mimi". Maneno ya Sadio mane.
Kwa sasa ni mchezaji wa club ya ujerumani Bayern Munich.
Na mchezaji wa afrika wa pili kulipwa pesa nyingi.
14/07/2022
NONDO; Wachezaji top 7 wanaongoza kuwa na magoli + assists nyingi ndani ya misimu mitatu ya ligi kuu ya uingereza (EPL) iliyopita.
(1) Mohammed salah (92)
(2) Harry Kane (83)
(3) Son heung-Min (78)
(4) Kevin de bruyne (74)
(5) Jemie vardy (69)
(6) Bruno fernandes(61)
(7) Sadio Mane (61)