Wakunungu sports

Wakunungu sports

Share

Sports news

15/02/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Kipemba Pixel Tz, Matoke Onchieku Kevin, Collins Murrey

02/02/2026

Facebook

25/02/2022

hi

16/08/2021

Alichoandika Baada ya Simba kuthibitisha kuwauza chama na Luis.

🤦‍♂️🤦‍♂️🙏🙏Msimu ujao wa Mashindano 2021/2022, ni rasmi Simba SC, itawakosa wachezaji wake mahiri mno Luis Jose Miquissone na Clatous Chota Chama.

😔Ligi kuu soka Tanzania bara itachezwa bila Chama na Luis. Tutawa-miss🙌

🇹🇿Tanzania haitashuhudia tena vipaji hivi murua kutoka Zambia na Msumbiji🥱

🎙🎙🤦‍♂️Commentators hatutangaza tena uhodari wa Chama na Luis.

🥲🥲Ooops!….dhahiri tumeondokewa na nyota wa maana sana, lakini football ni biashara kubwa kwa sasa, Simba SC imepaswa kufanya uamuzi sahihi wa kuwauza kwa sababu Mkwanja ni mrefu mno.

💪💪🔥🔥Hongereni Simba kwa kufanya biashara nzuri sana ya Chama na Miquissone, bila shaka wachezaji mliowasajili wataweza kuvaa viatu vyao.

💪💪Binafsi, nawapongeza na kwa walichotoa kwa Simba na Tanzania, kwa muda wote walitufundisha jinsi gani mchezaji wa Kigeni anatakiwa kuwa.

Naamini vijana wetu wa Kitanzania wamejifunza kutoka kwa wawili hawa.

🙏🙏🙏Asante Mwamba wa Lusaka Chama, Asante Konde Boy Miquissone.

👍Neno moja la kuwaaga tafadhali💪

Baraka Mpenja
Commentator-Azam TV

Photos from Viwanjani leo Tz's post 16/08/2021
Cryparena 10/08/2021

*🔥🔥🔥KAMPUNI YA UHAKIKA CRYPARENA🔥🔥🔥*
Jisajili 👇👇👇👇

https://cryparena.com/signup?pos=R&cid=CRYP8K8523

Ni kampuni inayolipa faida ya 1.8% mpaka 3.5% kutokana na utofauti wake Uliopo kwenye vifurushi vyake.

➡️Kiwango cha chini cha kuwekeza ni $25 sawa na elfu 62500/= za kitanzania na kiwango cha mwisho kabisa kuwekeza ni $100,000 sawa na 250,000,000/= za Tanzania.

*Mchanganuo wa vifurushi uko k**a ifuatavyo;* 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

➡️Kifurushi cha kwanza kinaitwa ALT ALPHA(25$ to 20000$) ambacho ni kuanzia $25 sawa na elfu 62,500/= mpaka $5000 sawa na million 10. Hapa unalipwa 1.8% hadi 2% ya pesa uliyowekeza ambayo inadumu kwa siku 120 za mkataba.

▶️Ukiweka 62,500/= unalipwa 1125/= kwa siku.
▶️Ukiweka 100,000/= unalipwa elfu 1800/= kwa siku.
▶️Ukiweka 200,000/= unalipwa elfu 3600/= kwa siku
▶️Ukiweka 400,000/= unalipwa 72,00/= kwa siku.
➡️Ukiweka 500,000 unalipwa 9000 kwa siku
➡️ukiweka 1,000,000 unalipwa 18,000 kwa siku
➡️ukiweka 5,000,000 unalipwa 90,000 kwa siku,
➡️ukiweka 10,000,000 unalipwa 180,000 kwa siku
Na kuendelea na vifurushi vingine......

NB: KUMBUKA MKATABA HUU NI SIKU 120 ZA KAZI JUMATATU HADI IJUMAA.

➡️Kifurushi cha pili kinaitwa ALT AQUA(20500$ to 50000$)
Katika kifurushi hiki unalipwa asilimia 2.5% hadi 2.7% ya pesa ako ambayo itadumu kwa muda wa siku 100.

➡️Kifurushi cha tatu kinaitwa ALT AMAZE(50500$ to 100000$)
Katika Kifurushi hiki unalipwa 3.25% hadi 3.5% ya pesa yako ambayo hudumu kwa muda wa siku 80.

✅Malipo ni Jumatatu hadi Ijumaa ila malipo ya bonus ni siku yoyote k**a unastahili kupata kwa kualika mtu n.k

✅Kiwango cha chini cha Uwekezaji:$25
✅Bonasi ya kumualika mtu direct:8% hadi 10%
✅Bonasi ya binary/commission:10%
✅Makato ya kutoa pesa nje ya kampuni,( withdrawal charges) kwa njia zilizoainishwa na kampuni ni 7% ya kiwango unachotoa
✅Kiwango cha chini kutoa pesa( minimum withdrawal:$10

Njia za kufanya malipo katika kampuni na kulipwa baada ya kutoa pesa.
🔄BITCOIN
🔄LITECOIN
🔄ETHEREUM
🔄DOGE COIN
🔄PERFECT MONEY

Cryparena Join the best Crypto based Investment Platform

Want your business to be the top-listed Gym/sports Facility in Temeke?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Temeke