07/08/2025
Rasmi sasa simba day itakuwa tarehe 7 ya mwezi wa 9 pale pale benjamin mkapa dar es salaam
wanasimba kumbuka pia jezi mpya kuzinduliwa tarehe 25 mwezi wa 8
Simbanguvumoja
KWA HABARI MAKINI ZA SOKA NA MUSIC
07/08/2025
Rasmi sasa simba day itakuwa tarehe 7 ya mwezi wa 9 pale pale benjamin mkapa dar es salaam
wanasimba kumbuka pia jezi mpya kuzinduliwa tarehe 25 mwezi wa 8
Simbanguvumoja
10/03/2025
Jamani tuweni makin sana ππ
Mnyama simba mawindoni tena kukabiriana na TMA pale kmc complex katika kombe la crdb...
23/12/2022
Jitu la mtumba
Mwamba hapoi hata kidogo....
23/12/2022
π¨ Cristiano Ronaldo tayari amewasili katika uwanja wa ndege wa Riyadh nchini Saudi Arabia.
Yuko tayari kukutana na vionngozi wa klabu ya Al-Nassr.
Chanzo; Foot Mercato)
23/12/2022
LUIS MIQUISSONE AIKUBALI OFA YA YANGA
Nimearifiwa kwamba Nyota wa zamani wa Simba Luis Miqusson amekubali ofa ambayo amepewa na uongozi wa Yanga na yuko tayari kusaini mkataba wa miaka mitatu na miamba hao wa soka la Tanzania.
Simba walipeleka ofa lakini walikuwa hawataki kulipa fedha zote walikuwa wanataka kulipa kidogo kidogo ila Eng Heris amemwambia yeye atalipa fedha zote ambazo Miqusson anataka
Mpaka sasa wanasubiriwa tu Al ahly wafanye maamuzi ila tayari kila kitu kipo tayari kwa Miqusson kutua Jagwani
02/08/2022
πππππ πππππππππππ πππ-ππππππ ππππππ
βͺSimba imehitimisha wiki tatu za maandalizi ya pre-season nchini Misri, kikosi kikiwa mbioni kurejea Tanzania
βͺJana Simba ilicheza mchezo wa mwisho wa kirafiki dhidi ya Al-Kholood na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0
βͺTangu ilipoweka kambi katika mji wa Ismailia, Simba imecheza mechi nne za kirafiki, imeshinda michezo miwili, kupoteza mchezo mmoja na sare mchezo mmoja
βͺWalilazimishwa sare ya bao 1-1 na wenyeji wao Ismailia kabla ya kuibamiza Abuhamad mabao 6-0
βͺMchezo pekee waliopoteza ni dhidi ya Haras El Hodoud wakifungwa mabao 2-0
βͺKocha Mkuu wa Simba Zoran Maki alihitaji michezo hiyo ili kuwaangalia wachezaji na kuimarisha maeneo yenye mapungufu
βͺMaki alipendekeza maboresho akihitaji mshambuliaji na kiungo, Simba itatangaza usajili wa wachezaji wengine wapya wiki hii DIBAH Sports News nathibitisha hili.
βͺKiungo Nelson Okwa kutoka Rivers United anatajwa kutua Msimbazi pamoja na mshambuliaji Cesor Lobi Manzoki ambaye Simba iko kwenye majadiliano na Vipres Fc ili kukamilisha usajili wake, na k**a mnakumbukumbu nilishathibitisha Usajili wa manzoki na Huenda akatambulisha
βͺKikosi cha Simba kinatarajiwa kurejea jijini Dar es salaam August 04 kukamilisha maandalizi ya SIMBA DAY.
20/07/2022
MWAMBA JEHURI IMEZAMANA NA MPIRA WAKE